Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_6141.jpg

Leo Ndyo TBT ehh
IMG_6142.jpg

Bring back Golden boy BAKAYOKO [emoji1782][emoji1782][emoji1782][emoji1782]
 
Daaaahhhh michezaji inapoteza nafasi za wazi kabisa, halafu ikifika kwenye 18 inarelax tu utafikiri yenyewe
ndio inaongoza kwa goli 2-0
Hii michezaji yenu haina hata huruma kwa mashabiki wao.
yenu yenye huruma imepigwa chuma3 bila kuona mbele
 
Kwa mawazo yangu Chelsea ilibidi ipitie katika hatua hii ili tufanye vizuri siku zijazo...nahisi kuwa wamiliki waligundua kitu kama hiki ndo maana walifanya usajili wa nguvu...bila kufanya usajili mapema vile hakuna wachezaji waliosajiliwa ambao wangekubali kujiunga na timu msimu ujao.

Kocha TT angebaki na timu lazima angefukuzwa tu kwani hali hii ya The Blues ni mkosi ambayo timu zote za juu Ulaya wameweza kuyapitia kuanzia Man U, Liverpool, Barca, R.Madrid..nk
Muda muafaka wa sisi mashabiki kuamini kuwa msimu ujao tutasimama imara, kuhusiana na wamiliki hawawezi kukubali kumiliki hasara miaka yote kwani kuna picha wamepata...nafurahi kuwa msimu ujao tunaweza kusajili mshambuliaji mmoja atakaesaidiana na Lukaku..Broja
 
yenu yenye huruma imepigwa chuma3 bila kuona mbele
Man U wadhaifu sana kwa timu za Laliga, Sevilla tangu wawauze akina Kounde imekuwa ni timu dhaifu sana sijui waliwezaje jana kuwatumbukizia magoli yota onfire Manure
 
Inavyoonekana Boehly anataka mtu wa kumcontrol[emoji24][emoji24][emoji24] tumeisha. Mtu ambae hatopinga maamuzi yake

Julian Nagelsman[emoji777]
Luis Enrique[emoji777]
 
Mauricio Pochetino sasa ndie anaepewa chapuo lakuwa kocha mpya wa chelsea baada ya mazungumzo kwenda vizuri kwa pande zote
 
Inavyoonekana Boehly anataka mtu wa kumcontrol[emoji24][emoji24][emoji24] tumeisha. Mtu ambae hatopinga maamuzi yake

Julian Nagelsman[emoji777]
Luis Enrique[emoji777]
Nilisema huko nyuma kuwa Boehly anamtaka kocha puppet, ili yeye aendeshe timu kupitia huyo Puppet
Kosa kubwa la Chelsea ni Tajiri kuingilia uendehsaji wa timu
Kujiondoa kwa Julian imefanana na ya Luis
Watachuja weee halafu mwisho wataishia na koroma
 
Inavyoonekana Boehly anataka mtu wa kumcontrol[emoji24][emoji24][emoji24] tumeisha. Mtu ambae hatopinga maamuzi yake

Julian Nagelsman[emoji777]
Luis Enrique[emoji777]
Makocha wazuri hawatakubali kufanya kazi na Boehly, hii ni ya uhakika
Tutaishia kupata Puppet kama akina Lampard na Potter, nasema Lampard kwa sababu tabia chafu ya Boehly kuingilia dressing room yeye Lampard anasifia

Changamoto Alizoziona Julian Nagelsmann ndani ya Chelsea ni nyingi na mojawapo ni
  1. Changamoto za kimuundo
  2. Changamoto za usajili
  3. Changamoto za mchakato wa maamuzi ambao hautasaidia uongozi wake kama kocha ndani ya Chelsea

According to Sky Sports journalist Melissa Reddy, Nagelsmann felt as though there were numerous issues at Chelsea including
  1. fundamental structural,
  2. recruitment and
  3. process decisions that wouldn't best serve his management."
 
nmeona adi vicent kompany [emoji23][emoji23][emoji23] ii chelsea toddy cjui anatuonaje kiukwely tutaona mengi kwa uyu mmiliki[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ngoja interview ziishe tuone watachagua nn dakika ya mwisho unashangaa paaap ralf ragnick
Inashangaza sana kuona jina la kompany kuwa naye anawania ukocha chelsea kwa uwezo gani hasa aliokuwa nao si vichekesho hivi

Hawa matajiri hawafai kabisa kuingoza timu hili litakuwa ni anguko kubwa la Chelsea sioni tena mafanikio ktk miaka ijayo
 
Inashangaza sana kuona jina la kompany kuwa naye anawania ukocha chelsea kwa uwezo gani hasa aliokuwa nao si vichekesho hivi

Hawa matajiri hawafai kabisa kuingoza timu hili litakuwa ni anguko kubwa la Chelsea sioni tena mafanikio ktk miaka ijayo
Now tuko Post Ferguson Era,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom