Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata mwakani dalili za kumaliza top 4 hakuna
Tujiandae tu na maumivu hadi Boehly ajiuzulu
 

Niko hapa nasubiri kipigo kingine, me bhaana nishajizoelea zangu sahivi woooiiii, nitaumia kila siku na kitu hicho hicho kweli..!!
Pole sana Mama, mi nilijilalia mapema tu maana ningeshangaa Kocha aliyekuwa anataka kuishusha underdog team daraja "Everton" ndiye afanye maajabu na timu kubwa iliyowahi kubeba hadi kombe la dunia 2022?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wazee wa project isiyo na plan😂. .
Kwa miaka 20 Arsenal hatujachukua ligi lakini hatujawahi kuzingua hivi mwisho wa msimu.
Mtafute manager haraka sana before end of season Lampard is too soft for the Squad. Mzaha mzaha mtashuka.
Screenshot_20230419-095746_1.jpg
 
Msimu ushaisha huo, hakuna cha Uefa ndogo wala maparachichi.. 😀 😀 Vurugu zilianzia pale mwekezaji mpya alivyofika kumfukuza kocha na wachezaji kuwa majeruhi - sasa hivi Chelsea haina first 11, pale ni ingia toka.
 
Msimu ushaisha huo, hakuna cha Uefa ndogo wala maparachichi.. 😀 😀 Vurugu zilianzia pale mwekezaji mpya alivyofika kumfukuza kocha na wachezaji kuwa majeruhi - sasa hivi Chelsea haina first 11, pale ni ingia toka.
Ilianza pale Bruce, Marina na Petr Cech kufukuzwa, ikaja Kocha halafu usajili holela
 
Pole sana Mama, mi nilijilalia mapema tu maana ningeshangaa Kocha aliyekuwa anataka kuishusha underdog team daraja "Everton" ndiye afanye maajabu na timu kubwa iliyowahi kubeba hadi kombe la dunia 2022?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Me nataka moyo wa uvumilivu kama wa Senali kipindi kile,

Rekebisha hapo pa kombe la dunia though...
 
Yaan Chesii tumeamua zetu kupack bus matopeni.
Tutaendelea na safari msimu ujao, tope litakuwa limekauka kauka.

Utadhani sio sisi tuliokaa kileleni wakati EPL inaanza.
Wachezaji wengi ni average na wamenunuliwa pesa kubwa.

Makocha wanazingua sana

Lampard sio kocha na hatakiwi hata kuwepo Chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom