😂😂😂Tulia hapo hapo uendelee kula chuma hicho 😂
Na game zijazo uwe mpole uendelee kula vyuma😂😂😂
Nilitaka kabisa kuinuka nikasema siwezi shindwa mara mbili at least ya Mbaga nishinde..
Nyinyi ni mmeoza ila nyumbu ni wajinga sana


Nyie makabati fc mnafungua madroo halafu mnayaacha wazi, haya nendeni mkayafunge madroo yenu kabla mende hawajajaa kabatini.😂😂😂😂
Huyo mtoto mie nitamsubiria World Cup.😂😂😂😂
Shughuli haikuwa rahisi mdogo wangu..!!🙌
Salamu zangu za dhati zimfikie Rodrygo...!!
Nimecheka balaaa humu jamvini kuna watu wana vituko sana.Madrid kale kamtego kao ka kusubiri waanze kufungwa walivyoona kameshtukiwa wameamua kuanza kutembeza bakora
Oyaaaaaaah😁😁😁Oyah mbona hawa Madrid wepesi tunafail wapi
Maamuzi mabov ya Boehly yametufanya tuwe hapa tulipo.Chelsea mwezi wa nne unaisha timu nzima imefunga goli moja tu