Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamaa ananifurahisha sana, post zake nyingi hua anazungumzia Bayern Munich na Chelsea

Screenshot_20230420-065940.jpg
 
Bosi hakimbii timu yeye ataendelea pata hasara ila ndani ya miaka 15 atarudisha pesa zake
Sikusema aache timu, ajiuzulu kusimamia timu kama mtumishi kwa sababu hajui mambo ya soka, yeye asubiri kufanya maamuzi makubwa tu kama alivyokuwa anafanya Roman
 
Inaonekana kabisa manager wetu ajae ni Julian Nagelsman.

Kama tungekuwa na mpango na Enrique tungekuwa tushamtangaza baada ya kumtimua Potter
Na ameitamani sana kazi ya Chelsea
Wache aje huyo mjerumani, ni mchanga lakini rekodi yake sio mbaya ila tusahau kutamba kwenye ligi. Huyo anaweza kutuwezesha kwenda conference tu au europa
 
Wachezaji wengi ni average na wamenunuliwa pesa kubwa.

Makocha wanazingua sana

Lampard sio kocha na hatakiwi hata kuwepo Chelsea
Wachezaji wazuri sana kuliko hata Arsenal, walichokosa ni kocha mzuri tu na mabosi kuingilia kazi ya kocha
 
Inaonekana kabisa manager wetu ajae ni Julian Nagelsman.

Kama tungekuwa na mpango na Enrique tungekuwa tushamtangaza baada ya kumtimua Potter
Wamepose ili wamalize kumhoji Julian Nagelsmann
Japo hawakufurahishwa na baadhi ya points za Luis Enrique
Inavyoonekana Luis Enwrique wanaweza kumrudia wakimalizana na Julian
Naona presentation ya Julian kuhusu namna atakavyoiendesha hii project iliwavutia mabosi ila usaili bado
 
SIFUNGAMANI NA UPANDE WOWOTE ila Lampard mikumi kabisa ni kijana hakuna haja ya Enrique Iglesias
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom