Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na hii baridi na mvua, mechi naitizama livescore nikiwa nimejifunika shuka kitandani.
 
Pisi Kali wetu Carleen kapotelea wapi Wana Chelsea jamani?

Depal kaa karibu na huyu Ndugu yetu, isijekuwa kashajitundika kamba huko kwa sababu za stress za timu yetu
😂😂😂😂😂😂
Niko hapa nasubiri kipigo kingine, me bhaana nishajizoelea zangu sahivi woooiiii, nitaumia kila siku na kitu hicho hicho kweli..!!
 
Ewe shabiki wa Chelsea, kama ukienda kuangalia mechi hakikisha unamaliza dkk zote 90, mambo ya kuja kulia-lia hapa umeshindwa kumaliza mechi uache
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom