Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unai Emery aliikuta Aston Villa nafasi ya 17, kaikokota hadi nafasi ya 6 na nasikia hali ya hewa kule villa park na dressing room ni shwari na hamonious hujapata kuiona. Usishangae kwa mechi 7 zilizobaki Aston Villa akacheza Championship

Wakati anaikuta Aston Villa kwenye 17 nadhani sisi tulikuwa 7 au 8

Wakati wa kuangalia makocha wa kuwasajili makocha kama hawa huwa tunawadharau na kung'ang'ana na matapishi yale yale
Si alifundisha Arsenal alifanya nini
 
Unai Emery aliikuta Aston Villa nafasi ya 17, kaikokota hadi nafasi ya 6 na nasikia hali ya hewa kule villa park na dressing room ni shwari na hamonious hujapata kuiona. Usishangae kwa mechi 7 zilizobaki Aston Villa akacheza Championship

Wakati anaikuta Aston Villa kwenye 17 nadhani sisi tulikuwa 7 au 8

Wakati wa kuangalia makocha wa kuwasajili makocha kama hawa huwa tunawadharau na kung'ang'ana na matapishi yale yale
Nafikir unamaanisha champions league na sio championships
 
Bodi ya Chelsea wameongeza makocha wawili tena kwenye usaili na kufikia makocha watano hadi sasa
Walioongezwa ni
  1. Vincent Company
  2. Abel Ferreira wa Palmeiras
The Blues have also added Burnley boss Vincent Kompany and Palmeiras coach Abel Ferreira

Jumla ya makocha waliofanyiwa usaili ni
  1. Julian Nagelsmann
  2. Luis Enrique
  3. Ruben Amorim
  4. Vincent Company
  5. Abel Ferreira
Ah KMMK, kazi tunayo aisee
 
Kumfukuza Tuchel bila kufanya analysis ya uhakika kupata mtu sahihi ilikuwa ni biggest mistake katika historia ya hii timu
Chelsea ladies wawapiga Aston Villa kuingia fainali za Women FA na Man United Ladies
Ft2CsPZXsAIdTmS
Yaani timu ya wanawake Chelsea unaweza kuiingiza kwenye mashindano ya Epl ,Uefa ,carabao na fa na ikakiwasha kuliko hii timu ya Mazezeta ,yule Sam Kerr ana akili na uwezo wa kucheza mpira kuliko mastriker tulionao ,shame
 
Jamani, nasikia huko Liverpool wamesema hawako tayari kulipa zaidi ya paundi mil 30 kwa Mason Mount. Chelsea pia wanauhakika Mount hatakataa mkataba mpya pendekezwa
licensed-image
 
Inavyooneka Julian Naglesman ndie atakaekuwa kocha wetu msim ujao.
Vivel,Stewart lawrance wanampigia Chapuo kwa sababu washawah fanya nae kazi pale RB liepzig.

Luis Enrique ni kama back up ya JN endapo tukimkosa.

Ila kama kweli tungekuwa na nia ya kumchukia LE, tungekuwa tushamtangaza,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom