Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa kweli chama langu la Chelsea siku hizi hua naangalia kama burudani tu. Wazo la ushindi nimerisubilisha msimu ujao BTW najifunza uvumilivu kutoka kwa Arsenal.

Sipati picha maumivu watakayopata Arsenal wakikosa ubingwa mwaka huu.
 
Embu fanya kunitumia kwanza ile picha ya kademu cha Cheltako kapo na chupi tu nipate nguvu maana timu yangu ya Cheltako ni chama la wana kila mtu anajipigia
Kwa nini umemuondoa Puttin?
Ile Carrasco Puttin ilikua imekaa kibabe sana Mkuu.
Ile picha ya kale mademu sijui hata nimeihifadhi kwenye folder gani, ila sio mbaya ukitumia hata picha hii itawafariji ndugu zako baada ya kuuchezea pale Santiago Bernabeu.
Screenshot_20230113_143339.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom