Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,957
- 7,698
Wakulaumiwa ni serikali ya uingereza na FA kuingiza siasa kwenye soka. Abrahamovic amedhulumiwa timu na ameiacha kwa kinyongo ndio maana unaona haya matokeo.Chelsea ilikuwa the pride of London ila sasa hv imekuwa disgrace of londonWakulaumiwa ni Putin, bila yeye haya yasingetukuta