Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wakulaumiwa ni Putin, bila yeye haya yasingetukuta
Wakulaumiwa ni serikali ya uingereza na FA kuingiza siasa kwenye soka. Abrahamovic amedhulumiwa timu na ameiacha kwa kinyongo ndio maana unaona haya matokeo.Chelsea ilikuwa the pride of London ila sasa hv imekuwa disgrace of london
 
Hakuna timu duniani inafanya buildup Bora kuanzia kwa GK Hadi katikati Kama Brighton

Brighton had 67.95% possession in the opening 45 minutes against Chelsea, the most by an away team in the first half of ANY Premier League game this season.

Pep was right.
Kumfukuza Tuchel bila kufanya analysis ya uhakika kupata mtu sahihi ilikuwa ni biggest mistake katika historia ya hii timu.
Muda mwingine nahisi ni laana ya Abrahmovich ,
 
Brighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki

Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo

Jana ziligawia pipi pale kati

Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard

Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)

Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi

Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi

Halafu anaitwa magwaya mara guehi
 
Wakulaumiwa ni serikali ya uingereza na FA kuingiza siasa kwenye soka. Abrahamovic amedhulumiwa timu na ameiacha kwa kinyongo ndio maana unaona haya matokeo.Chelsea ilikuwa the pride of London ila sasa hv imekuwa disgrace of london
Putin ndo sababu, Abro ni mshirika na mshauri wa Putin
 
Sio

Sio rahisi kama unavyodhani lile shuti limeenda katika engo ya mbali mnooo! Wakulaumiwa ni midfilders wa chelsea ambao walinyang'anywa mpira halafu hata hawakukimbia walikuwa wana jog tu na beki zikaacha space kubwa kwa mpigaji wa shuti bila ya kumghasi
Kuna kitu Cha kuongezea. Nahisi umri wa kutoboa kimpira ni 19 yrs old. Yule dogo ni wakati wake Sasa huu akaze buti. Like shuti ni Kali sana kwa 19yra old
 
Sio

Sio rahisi kama unavyodhani lile shuti limeenda katika engo ya mbali mnooo! Wakulaumiwa ni midfilders wa chelsea ambao walinyang'anywa mpira halafu hata hawakukimbia walikuwa wana jog tu na beki zikaacha space kubwa kwa mpigaji wa shuti bila ya kumghasi
Nadhani umesoma hadi line 2 ukaisjhia hapo, pole sana
 
Vinicious Jr huu ni mwaka wa nne bila majeruhi
Tangu 2019 nafikiri kakosa mechi chini ya 10 kwa muda huo. Sasa mchezaji asiyepata majeruhi na kila mechi yupo ataacha kuinuka kiwango
 
Kumfukuza Tuchel bila kufanya analysis ya uhakika kupata mtu sahihi ilikuwa ni biggest mistake katika historia ya hii timu.
Muda mwingine nahisi ni laana ya Abrahmovich ,
Na pia alikurupuka kumfukuza Potter bila kuwaza kocha sahihi wa kushika timu kwa muda, Potter is way better than Lampard, mechi moja tuliocheza na liva tukiwa hatuna kocha ni bora mara 100 kuliko hizi tukiwa na Lamapard.
Lampard ni kiazi mbatata.
#Bring back our potter
 
Lampard last 17 matches stats as a coach

1 win
2 draws
14 defeats
33 conceeded
6% win rate
 
Kocha wa kushinda mechi hapa Chelsea atahitaji 100% kumiliki maamuzi yanayohusu wachezaji
  1. Nani asajiliwe na nanai asisajiliwe
  2. Nani auzwe na nani asiuzwe
  3. Nani aadhibiwe na nani asiadhibiwe
  4. NK
Boehly akiendlea kuwepo pale kwenye uendeshaji wa timu hakuna kocha wa namna hiyo atakubali kuja Chelsea na akikosea kuja atafukuzwa mara moja
Tukubali tumeingia shimoni sio msimu huu tu hata misimu mingine ambapo Boehly na wamiliki wenzake wakiendelea kusimamia mambo yanayohusu football
Abramovich alideligate mambo mengi kwa Marina na hata yale machache aliyofanyia maamuzi ni kwa ushauri wa Marina na wanabodi wenzake
 
Jana Brigton kwa quality ya mchezo waliuonyesha hawakustahili kutoka na magoli mawili na lile moja walifungwa kwa bahati mbaya tu.
Infact ile mechi waliyotufunga 4, Chelsea tulicheza vizuri kuliko wao, umaliziaji wetu tu haukuwa mzuri
Ila jana tulicheza fyongo kuliko, upangaji wa wachezaji ulikuwa hovyo
Tuna wachezaji 30 wenye akili timamu, wako akina datro fofana, mabueke hawajaribiwi tunarudia takataka zile zile
Silva tumekumiss sana kwenye defense, imekosa mwelekeo kabisa naomba rudi mapema hata kabla ya mechi na Real MAdrid jumanne
 
Hivi mnakumbuka hata alivyokuwa Chelsea REECE ndo alikua anaongoza kwa ufungaji
Screenshot_20230416_152128_Twitter.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom