Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea ladies wawapiga Aston Villa kuingia fainali za Women FA na Man United Ladies
Ft2CsPZXsAIdTmS
 
Chelsea UEFA 2023.jpg



Line up 4-3-3

Mudryk -------------- Felix ------------------ Mount

Kovacic -------------Enzo -------------------Kante

Cucurella --------Silva -------- Fofana -------James

-------------------- Kepa ------------------------

Sub
  1. Mendy
  2. Chalobah
  3. Lewis Hall
  4. Azpilicueta
  5. Galagher
  6. Zakaria
  7. Sterling
  8. Ziyech
  9. Pulisic
 
Unai Emery aliikuta Aston Villa nafasi ya 17, kaikokota hadi nafasi ya 6 na nasikia hali ya hewa kule villa park na dressing room ni shwari na hamonious hujapata kuiona. Usishangae kwa mechi 7 zilizobaki Aston Villa akacheza Champion League

Wakati anaikuta Aston Villa kwenye 17 nadhani sisi tulikuwa 7 au 8

Wakati wa kuangalia makocha wa kuwasajili makocha kama hawa huwa tunawadharau na kung'ang'ana na matapishi yale yale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom