Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

20230416_152632.jpg
20230416_152839.jpg
20230416_152819.jpg
 
Brighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki

Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo

Jana ziligawia pipi pale kati

Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard

Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)

Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi

Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi

Halafu anaitwa magwaya mara guehi
Ha ha ha baiskeli ya plastic
 
Bodi ya Chelsea wameongeza makocha wawili tena kwenye usaili na kufikia makocha watano hadi sasa
Walioongezwa ni
  1. Vincent Company
  2. Abel Ferreira wa Palmeiras
The Blues have also added Burnley boss Vincent Kompany and Palmeiras coach Abel Ferreira

Jumla ya makocha waliofanyiwa usaili ni
  1. Julian Nagelsmann
  2. Luis Enrique
  3. Ruben Amorim
  4. Vincent Company
  5. Abel Ferreira
 
Bodi ya Chelsea wameongeza makocha wawili tena kwenye usaili na kufikia makocha watano hadi sasa
Walioongezwa ni
  1. Vincent Company
  2. Abel Ferreira wa Palmeiras
The Blues have also added Burnley boss Vincent Kompany and Palmeiras coach Abel Ferreira

Jumla ya makocha waliofanyiwa usaili ni
  1. Julian Nagelsmann
  2. Luis Enrique
  3. Ruben Amorim
  4. Vincent Company
  5. Abel Ferreira
Utashangaa wakamchukua Vicent company dah!.
 
Chini ya Roman Abramovich Lampard pamoja na ban aliiwezesha timu kuwa top 4
Chini ya Boehly Potter pamoja na usajili wa mil 600 alikuwa anaizamisha Chelsea Championship
 
Todd boehly tuna imani na wewe fanya usajiri mwingine mchukue
Lomalisa
Yaya sanogo
Kaisedo
Biligamu
Saidi bahanuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom