Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Narudia kusema Kepa kacheza vizuri sana leo, katuweka mchezoni hadi dk ya 42
Ila kuna mashuti sio size yake kabisa na hasa mashuti ya mbali
Urefu wake unamponza, kajitanua hadi mwisho bado chuma ikaingia
Lile shuti Mendy angeokoa hata kwa kidole
 
Chelsea spent £323M in the January transfer window.

They are currently:

10 points behind Brighton
14 points behind Tottenham
17 points behind Manjesta
17 points behind Newcastle
28 points behind Man City
34 points behind Arsenal

NB: PICHA HAINA UHUSIHANO NA COMMENTView attachment 2589040
Na pia tuko 12 point above relagation zone
 
Mkuu kuna magoli huwezi kumlaumu kipa. Kama goli la pili ni mara chache sana makipa wanasave makombora kama yale
Mendy kaokoa mengi kama hayo kwenye ligi na UEFA au umesahau
Magoli kama yale kweli huwezi kumlaumu Kepa kwa sababu yamesababishwa na umbile lake
Mendy kwa sababu ya urefu mkubwa angejitanua hata akagusa na kidole ingetoka nje
Kwa Kepa ni kumuonea bure
 
Naelewa stress mlokuwa nazo
600k na hakuna kinachoeleweka si mchezo

Heri sisi tatizo linaonekana ni hatujanunua.
Sasa nyie ndugu zetu dah!
Kutobolewa ni kule kule hakuna mbadala
Huwezi kusema mimi nimebakwa vizuri
 
Hakuna timu duniani inafanya buildup Bora kuanzia kwa GK Hadi katikati Kama Brighton

Brighton had 67.95% possession in the opening 45 minutes against Chelsea, the most by an away team in the first half of ANY Premier League game this season.

Pep was right.
 
Mendy kaokoa mengi kama hayo kwenye ligi na UEFA au umesahau
Magoli kama yale kweli huwezi kumlaumu Kepa kwa sababu yamesababishwa na umbile lake
Mendy kwa sababu ya urefu mkubwa angejitanua hata akagusa na kidole ingetoka nje
Kwa Kepa ni kumuonea bure
Ulichosema hakina tofauti na mimi wewe umeongezea nyama tu
 
Sio
Narudia kusema Kepa kacheza vizuri sana leo, katuweka mchezoni hadi dk ya 42
Ila kuna mashuti sio size yake kabisa na hasa mashuti ya mbali
Urefu wake unamponza, kajitanua hadi mwisho bado chuma ikaingia
Lile shuti Mendy angeokoa hata kwa kidole
Sio rahisi kama unavyodhani lile shuti limeenda katika engo ya mbali mnooo! Wakulaumiwa ni midfilders wa chelsea ambao walinyang'anywa mpira halafu hata hawakukimbia walikuwa wana jog tu na beki zikaacha space kubwa kwa mpigaji wa shuti bila ya kumghasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom