Huwezi kununua mchezaji kwa milioni 100 kisha useme tusubiri apewe mudaWivu wewe utakuwa Arsenal
Mudryk bado mdogo, kama leo umefuatilia amecheza vizuri na bado muda ya kuweka career yake vizuri upo. Just need a click


Hivi kweli kwa mtu aliye angalia mpira leo unaweza kumlaumu Kepa kweli?Tukiacha matatizo yenu yote kipa. WENU ni tatizo Sana
OkHivi kweli kwa mtu aliye angalia mpira leo unaweza kumlaumu Kepa kweli?
Yapo matatizo mengi ila sio kwa Kepa. Amejotahidi sana kupunguza idadi ya magoli
Hakuna kuwahurumia nyau hawa
Mbona kama naanza kuwahurumia ndugu zangu? Mmemkosea nini Mungu?
Kumbe mablichi tulikua nae uwanjaniLeo ni zamu ya mudi kukaa kwenye post akipokea mikoba ya mpaka blichi
Hii mikataba ya miaka 10 itawaua hawa vijanaView attachment 2588884

Kepa ni part ya matatizo, magoal anayofungwa ni yale yale kila sikuHivi kweli kwa mtu aliye angalia mpira leo unaweza kumlaumu Kepa kweli?
Yapo matatizo mengi ila sio kwa Kepa. Amejotahidi sana kupunguza idadi ya magoli
Maamuzi mabov ya Boehly ndio yametufanya tuwe hapa tulipo.Kuna kitu nakihisi kipo nyuma ya pazia
Tangu waondoke wakina Marina na Bruce na hawa Kina Peter Cech Team imekua na muelekeo mbaya saana isije kua wana kula njama na wachezaji nyuma ya pazia
Sio yeye tu wachezaji wote 24 walionunuliwa ni wabovu yaani wabovu sanaHuwezi kununua mchezaji kwa milioni 100 kisha useme tusubiri apewe muda
Uyo ni flop tayari
Hatukuwa na optionKosa kubwa ni kumfukuza Tuchel, kosa kubwa zaidi ni Toddy kuchukua timu.