Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
Mkuu kuna magoli huwezi kumlaumu kipa. Kama goli la pili ni mara chache sana makipa wanasave makombora kama yaleKepa ni part ya matatizo, magoal anayofungwa ni yale yale kila siku
Mkuu kuna magoli huwezi kumlaumu kipa. Kama goli la pili ni mara chache sana makipa wanasave makombora kama yaleKepa ni part ya matatizo, magoal anayofungwa ni yale yale kila siku
Mkuu haupo seriousSio yeye tu wachezaji wote 24 walionunuliwa ni wabovu yaani wabovu sana
Mkuu magoal ya kepa ni yale yale kila siku,Mkuu kuna magoli huwezi kumlaumu kipa. Kama goli la pili ni mara chache sana makipa wanasave makombora kama yale
Sasa wewe waona nani pale ana akili?Mkuu haupo serious
Naelewa stress mlokuwa nazoYaani tunajiabisha kwa timu zingine kwa majigambo haya, tuache tu ili tufiche aibu yetu


Nani kawakataza kununua? Nyinyi ni timu masikini?Naelewa stress mlokuwa nazo
600k na hakuna kinachoeleweka si mchezo
Heri sisi tatizo linaonekana ni hatujanunua.
Sasa nyie ndugu zetu dah!
Mudy kaanza kuonyesha cheche zake, kocha akimuamini akaendelea kumpa game time ya kutosha tutakuja kumfurahia, akiwa threat kule mbele atatusaiodia kutengeneza spaces kwa wachjezaji wengineMudyrik anatakiwa kuanza kila match...
Tutambeba huyo ngoja tu, leo Boehly amemuonaHuyu mitoma anatuvua nguo waziwazi
Kambi ya nini msiba kwa wiki mara mbili, mtachoka tu wenyeweNgoja niweke kambi mtaa huu


hasira saizi zinahamia Kwa boss sio kocha wala wachezaji Tena ...YaaniBado hatujafungwa kwa sababu ya Kepa. Ila tupo uchi sana.
Lampard hafukuzwi, aliletwa ili kutuliza hasira za mashabiki wasigome kuingia uwanjan i au mwakani wasigome kununua ticketsChelsea itafungwa mechi zote hadi wamfukuze Lampard
Wiki ijayo Madrid wanatufunga tena
Super Frank Lamparange.Nyie kenge mmelombwa tena dah yani mnagawa tu kama pipi

Arsenal pamoja na ups and downs hatujawahi kushika nafasi za 10 hukoSuper Frank Lamparange.
The Ligend of Chelsea.
Fantastic and competitive Coach.
Apewe mkataba wa miaka buku "millennium"
Hakuna mwingine kabisa zaidi ya FL.
Tumeipenda wenyewe Chelsea na tuvimbe tupasuke.
Asepimbi nipeni moyo wa kuvumilia mateso ya Chelsea FC la sivyo nitapasua hii TV hapa kibanda umiza
View attachment 2589041
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app