Hizi story sipendi kusikia inanitia hasira tuAnafanyiwa usaili
Ruben Amorim - kocha wa sasa wa Sporting ya Ureno
Wewe una maoni gani?
![]()
Mnazidi kupoteana na kusajili average coacher ,makocha wenye mindset za mid table teamAnafanyiwa usaili
Ruben Amorim - kocha wa sasa wa Sporting ya Ureno
Wewe una maoni gani?
![]()



,Daah sio fresh kabisaKwahiyo leo tena tunafungwa ??? View attachment 2588577
Daah maboss hawataki kukurupuka. Ila uwepo wao tu tayari ni mashakaAnafanyiwa usaili
Ruben Amorim - kocha wa sasa wa Sporting ya Ureno
Wewe una maoni gani?
![]()
Sijui kwanini walimbania yule Mwarabu kuichukua timu baada ya Abrahamovich, yani Mamarekani yapo kimaslahi tu wala hayako sirias na mafanikio ya kubeba makombe kama ilivyo kwa Matajiri wa Kiarabu wa PSG, New Castle na Mwa-CityDaah maboss hawataki kukurupuka. Ila uwepo wao tu tayari ni mashaka

You've made my dayKwahiyo leo tena tunafungwa ??? View attachment 2588577
Jamaa wanatengeneza nafasi nyingi sana za magoli.Mpira wa Brighton una burudani ila umaliziaji unawaangusha