Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila kama mme notice hz mechi mbili za Lampard tumekuwa wabovu zaidi ya kipinsi cha Potter... Coz wakati Potter yupo nafasi zilikua zinatengenezwa na kulikua na amsha flan hivi ila kupata matokeo ndio ishu...

Hata mechi ya Livepool chini ya Bruno mwanafunzi wa Potter tulicheza amsha zilikuwepo


Ila Lampard ka tumeanza upya vile....

Kwa jinsi tulivyocheza mechi mbili zilizopita ni waz kumeudisha Lampard ni boko....
Tumerudi nyuma sana mkuu watu hawalioni hili.
 
Huwezi kununua wachezaji wa £600M kisha ukasema ni long term process

Ni mlevi tu ndo anaweza kukuelewaView attachment 2586056
Hivi Ass anal nani kawaroga?? Jana wamecheza Madrid na chelsea, picha unapost za chelsea vs Ass anal, ambayo hat haipo UEFA. Ukiwa shabik w Ass anal lazima ziwe hazijatimia zote.
 
Ila kama mme notice hz mechi mbili za Lampard tumekuwa wabovu zaidi ya kipinsi cha Potter... Coz wakati Potter yupo nafasi zilikua zinatengenezwa na kulikua na amsha flan hivi ila kupata matokeo ndio ishu...

Hata mechi ya Livepool chini ya Bruno mwanafunzi wa Potter tulicheza amsha zilikuwepo


Ila Lampard ka tumeanza upya vile....

Kwa jinsi tulivyocheza mechi mbili zilizopita ni waz kumeudisha Lampard ni boko....
Hakuna chakurudi nyuma wala kwenda mbele
Game plan haikuwa sahihi
Tuliweka viungo wengi na tukacheza defensive football
Potter hakuwa na ubora wowote
Tukubali huu mwaka sio wetu na mwakani hatutakuwa kwenye Europen competition yeyote. Maji yamemwagika tugange yajayo
Comeback ya darajani itakuwa ni one of this decade football wonders
 
51DBE89D-B067-43A3-8C82-B8EBED5BE2F5.jpeg

Cheltako chelwowo 😂😂😂😂😂
 
Chelsea ilikua ya Thomas Tuchel tu
Hizi zingine sijui Mfinyanzi sijui Lampenga ni uchafu mtupu.
 
Tusimuonee keppa...he made many fantastic saves..goli la kwanza huwezi kumlaumu kabisa..alijitahidi kufanya save ila beki walishindwa kuubutua mpira na kumuacha benzema akicheka na nyavu. Pia fofana alizingua kukaba unamkabaje vini jr kinyumenyume vile.

Goli la pili ni makosa ya huyo fofana kwanza amezuia uwezo wa kipa kuona pia aliruhusu mpira kumpita tobo..kepa kuja kusthtuka mpira upo kambani.

Chilwell jana hakuwa kwenye form kabisa sijui hata kama anajua nini maana ya wing back...kipindi cha kwanza chote sidhani kama alipanda kwenda kushambulia. James alikuwa active ila huwezi kumlaumu kwasababu ya Vini jr...alikuwa anahofia sana kupanda ili asije kupigwa counter attack
kwani mimi nilisema hajacheza vizuri?
 
Kumbuka magoli yenu ni sifuri
Sisi angalau tulitikisa nyavu.


Nilikuwa active kutimiza ahadi niliyoiweka.
Nilijua tu hamtaweza kupindua meza nyie makubwa jinga ya wiki
Yaani tunajiabisha kwa timu zingine kwa majigambo haya, tuache tu ili tufiche aibu yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom