42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Tumerudi nyuma sana mkuu watu hawalioni hili.Ila kama mme notice hz mechi mbili za Lampard tumekuwa wabovu zaidi ya kipinsi cha Potter... Coz wakati Potter yupo nafasi zilikua zinatengenezwa na kulikua na amsha flan hivi ila kupata matokeo ndio ishu...
Hata mechi ya Livepool chini ya Bruno mwanafunzi wa Potter tulicheza amsha zilikuwepo
Ila Lampard ka tumeanza upya vile....
Kwa jinsi tulivyocheza mechi mbili zilizopita ni waz kumeudisha Lampard ni boko....
