Technically matekeo ni 0-0 ndo elikua game plan ya FL, na alifanikiwa isipo kua Kepp alimuangusha kwa kufungwa mipira rahisi.
hi team ina hitaji Mwalimu muzoefu na mwenye jina, ndo tutanza kuona tofauti ya Enzo, Felex fofana nk. kwasasa ni wa kawaida sana, timu gani ikiwa na wachezaji kamiri anacheza hovyo ila ikiwa na wachezaji pungufu inacheza vizuri hata kuliko awali, kuna tatizo la kiufundi nyuma yake.
Gharagha bora otolewi mkopo hana skills za mpira ni kurukaruka ndani na kukibia, ila ukweli ni kwamba hatuwezi kutoba kwa Madrid hata wakija darajani tutatoka sare au kutupiga 1-0 msimu ujao ndo tutakua na matumaini tikipata kocha kama Enrique ndo mwenye mbinu na uzoefu FL hapana.
hi team ina hitaji Mwalimu muzoefu na mwenye jina, ndo tutanza kuona tofauti ya Enzo, Felex fofana nk. kwasasa ni wa kawaida sana, timu gani ikiwa na wachezaji kamiri anacheza hovyo ila ikiwa na wachezaji pungufu inacheza vizuri hata kuliko awali, kuna tatizo la kiufundi nyuma yake.
Gharagha bora otolewi mkopo hana skills za mpira ni kurukaruka ndani na kukibia, ila ukweli ni kwamba hatuwezi kutoba kwa Madrid hata wakija darajani tutatoka sare au kutupiga 1-0 msimu ujao ndo tutakua na matumaini tikipata kocha kama Enrique ndo mwenye mbinu na uzoefu FL hapana.

#CFC