Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lampard hafai kuwa Kocha
Apumzike tu kama hakutafuta pesa za kujitunza akakate hata majani
Ukiwa na akili hata za kukaa kimya tu Lampard hastahili kabisa kulaumiwa maana hajachukua hata siku 10 tangu apewe mikoba ya ukocha wa muda na Mabosi wa Chelsea FC.

Pia Thomas Tuchel hapaswi kulaumiwa na Bayern Munich akitolewa hata kwa 7-0 na Man City.
 
The living legend Ngolo...
0D633924-FEBA-4B2B-A8A1-9BECF85B79AB.jpeg
 
Mashabiki wenzangu wa Chelsea kusema ukweli hii timu ni mbovu mbovu mbovu.

Tusijipe matumaini hewa.

Huu msimu hatuna chetu.

Wachezaji wote viwango vibovu

Hawachezi kitimu Kila mtu anacheza anavyojua yeye.

Hata yanga anaweza ichapa hii trust me

Halafu why back pass nyingi jamaa alianzisha huu uchafu wa back pass back pass kaiharibu sana hii timu.

Huu msimu tuwaachie tu walio serious pengine labda na ishu kuvadilisha umiliki imevuruga Kila kitu.

Boehly ni lazima awe mkali Sasa hata kwa players huu ni ujinga wanajichezaa tu.

Reece James siku hizi Wala hazami kati na kufunga yake magoli yake mazuri siku hizi ni bingwa wa back pass.

Hii timu apewe lampard Moja kwa moja no heri akae nao lamps ni mkali kidogo anaweza wachangamsha

Wamuongezee John Terry pale kwenye benchi wake na Ashley Cole Hawa madogo mafala lazima wanyooke .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom