kikos kina takataka Havertz, sijui kwa nini mudryk haamini siku acheze hat dk.90.huyo cheki ndipo matatizo yanapoaniaga, hana ubunifu ni shida - Huyo steling wa movie na yeye bado hajapata click tangu ajiunge chelsea bado anahangaikia maisha yake, Choba atusubiri nje, Galagher bado ana struggle ku click kwenye timu.
Line aliyotoa huyou bwana wa juu ni zuri ila hawa majeruhi wawili Mendy na Silva kuwaingiza straight kwenye first lineup aiseee ni risk, watu wamekaa nje zaidi ya mwezi - how are you going to prove their fitness ? hii ni mechi ya mtoano kaka.
Sio kwamba mm napenda hao wachezaji wawepo kwnye kikosi. Ila kocha wenu ndio utashangaa kikosi kina galaghar,sterling,cheek,chalobar.

. nothing else 


#CFC