Hatuelewi ila ninyi mlitiua aibu kabisaHivi mnaelewa hata mnachokifanya kweli humo uwanjani?
Kumbuka magoli yenu ni sifuriHatuelewi ila ninyi mlitiua aibu kabisa

Makubwa jinga ambayo hukuchukua point hata 3 mechi zote nnje ndani EPL msimu huu?Kumbuka magoli yenu ni sifuri
Sisi angalau tulitikisa nyavu.
Nilikuwa active kutimiza ahadi niliyoiweka.
Nilijua tu hamtaweza kupindua meza nyie makubwa jinga ya wiki![]()

100%Mrangazaji alikuwa anasema Chelsea ni washindani wazuri .ila umaliziaji ni butu
Huyu Felix ni overrated ila anazidiwa na walio bench
Kumbuka timu yenu ipo maporomokoniMakubwa jinga ambayo hukuchukua point hata 3 mechi zote nnje ndani EPL msimu huu?
Kweli ukaoimwe akili![]()
Kwahiyo?
Endeleeni kuporomoka hadi chini ya darajaKwahiyo?
Si kwa Chelsea yenye machezaji yasiyo na maamuzi ya kibabe kama haya.Duh
Tutatoboa kweli marudiano?


Duh
Tutatoboa kweli marudiano?
Bado game hii mbichi, wana GD ya goli 2 tuKumbuka magoli yenu ni sifuri
Sisi angalau tulitikisa nyavu.
Nilikuwa active kutimiza ahadi niliyoiweka.
Nilijua tu hamtaweza kupindua meza nyie makubwa jinga ya wiki![]()
🤣🤣🤣🤣🤣Madrid ipi Hziyech..??
Hapa ni mwendo wa maumivu per day..!!💙💙
Malengo ya Lampard ilikuwa ni kujilinda bahati mbaya kikosi kilikuwa hakina muunganiko kabisa kila 1 anacheza anavyojua yeyeToka mwanzo niliuliza tunaenda kujilinda Santiago bernabeu?
Viungo watatu wa kazi gani?
Mbele hakukuwa kumebalance.