Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Maamuzi mazuri kumtimua potato ila yamefanywa wakati mbaya (bad timing) ukizingatia tuna game ya UEFA kesho kutwa na hatujui huyo atakaekuja atakuwa na falasafa gani
Anyway acha tuwe wapole
Tuna game mbili kabla ya kucheza uefa. Kesho kutwa ipi tena?
 
Tofauti ya 1pts, huku akiwachomoa PSG, Group stage kapiga Barce,Inter wote hawa
Unahisi hicho kitu potter angeweza?

Stil ningependelea Luis Enrique
Issue ya Bayern kwenye ligi sio ya siku moja wala ya pointi moja. Graph yake ya performance ilikuwa ina curve negatively. Kwenye ile ligi ya wakulima ilitakiwa Bayern at that pount awe 10+ pts deference but badala yake unapitwa na timu ya kawaida iliyopigwa na Chuck Noris. Kuhusu Uefa sio kipimio kizuri kwa sababu ni ligi fupi. Thats is!
 
Issue ya Bayern kwenye ligi sio ya siku moja wala ya pointi moja. Graph yake ya performance ilikuwa ina curve negatively. Kwenye ile ligi ya wakulima ilitakiwa Bayern at that pount awe 10+ pts deference but badala yake unapitwa na timu ya kawaida iliyopigwa na Chuck Noris. Kuhusu Uefa sio kipimio kizuri kwa sababu ni ligi fupi. Thats is!
Hawawez kukuelewa maana wanaangalia matokeo sio performance

Ki performance alishafeli ,Bayern ilishaonesha matobo mengi

Ni sawa mtu kwasasa anakwambia manjesta yupo top 4, ila ukweli performance yao Ni mbovu ,mech nyingi wameshinda kimagumashi,

Ndicho walichoangalia baryen had kumtimua Julian

Wale jamaa pale baryen wamesema Performance yake ilikuwa mbovu ,shida sio kushinda ,watu wanaangalia kwa performance hii huko mbele itakuwaje
 
Issue ya Bayern kwenye ligi sio ya siku moja wala ya pointi moja. Graph yake ya performance ilikuwa ina curve negatively. Kwenye ile ligi ya wakulima ilitakiwa Bayern at that pount awe 10+ pts deference but badala yake unapitwa na timu ya kawaida iliyopigwa na Chuck Noris. Kuhusu Uefa sio kipimio kizuri kwa sababu ni ligi fupi. Thats is!
Bayern kila mwaka yeye ndo bingwa German hata akifanya vibaya baadhi ya mechi lakini jua hana mpinzani kumbuka pia msimu uliopita kabeba hilo kombe akiwa kama kocha
 
Hawawez kukuelewa maana wanaangalia matokeo sio performance

Ki performance alishafeli ,Bayern ilishaonesha matobo mengi

Ni sawa mtu kwasasa anakwambia manjesta yupo top 4, ila ukweli performance yao Ni mbovu ,mech nyingi wameshinda kimagumashi,

Ndicho walichoangalia baryen had kumtimua Julian

Wale jamaa pale baryen wamesema Performance yake ilikuwa mbovu ,shida sio kushinda ,watu wanaangalia kwa performance hii huko mbele itakuwaje
Hata Tuchel naye alifukuzwa PSG naye akaja chelsea na akabeba mataji..usifikiri kocha kufukuzwa ndyo hafai

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Alifanya nini na Spain?
mbona ujauliza alifanya nn na barca ile spain ilkua ina wachezaj ila walikosa uzoefu2 umri wao mdogo awakutegemewa kufika pale walipofika
JamiiForums704042505.jpg
 
Mbona Bayern kwenye ligi kashindwa na timu yenye wachezaji wazuri kuliko hata Chelsea?
kashindwa sioni kushndwa kwake mana alikua nafas ya pili ameifikisha tm robo fainal uefa alihitaji gem ilokua inafuata arudi kileleni ila n kwasababu ya zile ups and down ndo zmefanya afukuzwe na pia jamaa waliona uyu tuchel atachukuliwa na kna tot wkaamua kumuwah mapema
 
Kwani Potter si tulimchukua akiwa kazini. Tulilipa kama mil 20 kumtoa Brighton. Issue sio kocha asiye kazini wala aliyefukuzwa. Issue ni kocha mwenye uzoefu na timu kubwa na kubeba makombe
Enrique sawa
Conte sawa
Hata Mou arudi
Julian namuona bado anahitaji kukomaa japo
Christopher Vivell anampigia chapuo kweli kweli
Kwahiyo mnataka conte amludishe lukaku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom