Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Clueless boehly anatakiwa aelewe kuwa football ni tofauti na baseball..huyu jamaa toka aje naona kabisa katuvurugia chelsea yetu na bado anaendelea kuivuruga kibaya zaidi hatambui kuwa anazidi kuivuruga kwa kuturudishia lampard.

No disrespect, yes lampard is a chelsea legend ila sio kocha mzuri bado ni armature coach anayetakiwa akae chini ya makocha wakubwa ajifunze tactics , team management etc
 
Hawa wachezaji wanamuhitaji kocha sahihi. Akina Boehly wakikosea kusajili kocha wa msimu ujao, tujiandae tena kulia na kuanza kumfikiria kocha mwingine
  1. Tunamuhitaji kocha wa kuja kubadili mindset ya wachezaji
  2. Kocha mwenye uwezo wa kung'amua nani hafai ili auzwe
  3. Kocha mwenye kuweza kuwataka wachezaji wachezeje na wacheze kama kocha atakavyo - A demanding coach
  4. Kocha mwenye mamlaka juu ya wachezaji zaidi ya matajiri wa timu, tukimpata kocha Puppet kama Potter tumeisha
  5. Kocha mwenye uwezo wa kuwatumia kikamilifu akina Datro Fofana, Madueke, Felix, Havertz, Enzo, Mudryk, Mount nk hao wote ni hazina ya Chelsea na ni wachezaji wazuri ila ni kama watoto yatima wasie na baba
Umezunguka halafu mwishoni unataja hazina zenu unamuweka havertz huyu jamaa lile goli lake la uefa linawatia upofu ila hana ukali huo wa kumtarajia alete makubwa. Tatizo ni mashabiki pia
 
Niamini mimi Yule Bruno Saltor tuliyemtoa angeweza kuperform na kutupa matokeo kuliko hii takataka Lampard.

Siangalii match ila najua kinachoendelea huko ni upuuzi tu.
Bora hukuangalia, hata nami nilijua kuwa Lampard ni overrated Coach ndiyomaana nilikuwa zangu kijiweni nikisikiliza mziki na kucheza drafti tu

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom