

Mpambanaji wa timu huyo, kaa kwa kutuliaMatatizo mengine makocha wanajitakia tu,Huyu Gallagher huwa wanaona nini kwake? Havert nae?
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Alifunga goli UEFA finalHuyu Havertz sijui makocha wanaona nini kwake panga pangua dogo kila mechi anaanza
Nenda wewe uwatoe, unadhani ni rahisi ivyo kama unavyoandika hapa?Toa kulibali toa ,kukurela toa ghalagger
Anapambana nini??Mpambanaji wa timu huyo, kaa kwa kutulia
Lampard ni takatakaNiamini mimi Yule Bruno Saltor tuliyemtoa angeweza kuperform na kutupa matokeo kuliko hii takataka Lampard.
Siangalii match ila najua kinachoendelea huko ni upuuzi tu.
Hasira tuLampard ni takataka
Yaani mtu alikuwa anashusha daraja everton ndo mijitu ikamkimbilia
Kiazi mbatata we jamaa🤣🤣Alifunga goli UEFA final