lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Todd baada tu ya kuingilia suala la usajili na ubabe wake wote huo haya ndio matunda yakeLAWAMA ZOTE KWA TODDY
Todd baada tu ya kuingilia suala la usajili na ubabe wake wote huo haya ndio matunda yakeLAWAMA ZOTE KWA TODDY
Chochote hutoi siku hiziMatakataka katika ubora wenu.
Nani ana namba za chalii yangu OllaChuga Oc ,asije tu kuvuta bangi huko ATown![]()
Hawa wachezaji wanamuhitaji kocha sahihi. Akina Boehly wakikosea kusajili kocha wa msimu ujao, tujiandae tena kulia na kuanza kumfikiria kocha mwingine
- Tunamuhitaji kocha wa kuja kubadili mindset ya wachezaji
- Kocha mwenye uwezo wa kung'amua nani hafai ili auzwe
- Kocha mwenye kuweza kuwataka wachezaji wachezeje na wacheze kama kocha atakavyo - A demanding coach
- Kocha mwenye mamlaka juu ya wachezaji zaidi ya matajiri wa timu, tukimpata kocha Puppet kama Potter tumeisha
- Kocha mwenye uwezo wa kuwatumia kikamilifu akina Datro Fofana, Madueke, Felix, Havertz, Enzo, Mudryk, Mount nk hao wote ni hazina ya Chelsea na ni wachezaji wazuri ila ni kama watoto yatima wasie na baba


Nilitoa hiyo ofa ila nasikitika hadi sasa sijaona dalili zozote kama utaipata.Chochote hutoi siku hizi

Hawa wachezaji wanamuhitaji kocha sahihi. Akina Boehly wakikosea kusajili kocha wa msimu ujao, tujiandae tena kulia na kuanza kumfikiria kocha mwingine
- Tunamuhitaji kocha wa kuja kubadili mindset ya wachezaji
- Kocha mwenye uwezo wa kung'amua nani hafai ili auzwe
- Kocha mwenye kuweza kuwataka wachezaji wachezeje na wacheze kama kocha atakavyo - A demanding coach
- Kocha mwenye mamlaka juu ya wachezaji zaidi ya matajiri wa timu, tukimpata kocha Puppet kama Potter tumeisha
- Kocha mwenye uwezo wa kuwatumia kikamilifu akina Datro Fofana, Madueke, Felix, Havertz, Enzo, Mudryk, Mount nk hao wote ni hazina ya Chelsea na ni wachezaji wazuri ila ni kama watoto yatima wasie na baba
Dunia sio fair kabisa kocha anayeongoza mechi yuko active anatoa maelekezo kocha kiazi yupo haoni tatizo wala cha kuwaelekeza wachezaji.







Ukiniona Galagher sterling wapo mpaka saiv uwanjani,Hapo ndo udhamini kuwa makocha wa kiingereza wanautahira sana
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app




Nilipomuona gallegher na kukubroiller mbele havertz nikaona niendelee na shughli nyingine chelsea inipumzishe kwa sasa








Lampard ni takataka
Yaani mtu alikuwa anashusha daraja everton ndo mijitu ikamkimbilia






Niamini mimi Yule Bruno Saltor tuliyemtoa angeweza kuperform na kutupa matokeo kuliko hii takataka Lampard.
Siangalii match ila najua kinachoendelea huko ni upuuzi tu.







Nacheka Mimi kama chiziInamuweka benchi badiashile halafu cucurela na Koulibaly unawachezesha ,huu ni ufala




Kmanina tumefungwa bao la kisenge ,bonge la muwa ,kama alilofunga Mcginn aston villa ,hii timu ni mavi





Kwahiyo hizi ndo silaha zenu za kuwamaliza akina Benzema??Kante, Ziyech na Mount silaha za kummaliza Real Madrid
Chilwell kapumzihswa kiaina kwa ajili ya UEFA
Auba afurahia kurudi nchi ya ahadi
Mendy ananyemelea langoni


na ahadi yangu.Tutamkumbuka sana Potter😁Lampard ni mpuuz, kuna wachezaji hawafai kuwa hat kwenye bench, ila utashangaa ndi 1st 11 yake Gallager, challobar, Havertz.
Bora hat Potter kuliko hii kiazi