Hansi Flick, De Zerbi,Jirani unavyoona Wewe kocha yupi anatufaa bila ushabiki
Hansi Flick, De Zerbi,Jirani unavyoona Wewe kocha yupi anatufaa bila ushabiki
Ombi lako limepokelewaOya lembu hebu leo jitahidini mtupigie hizo punda, ila kuweni makini huaga zinaroga sana zinapokuaga nyumbani kwao, kimasihara masihara nyumbu tulichezea goli 7 kama utani.
Rashford alikua analalamika kila akiingia ndani ya box goli lao anakua halioni, anamuona kipa wao tu amesimama kwenye kile kibendera cha kwenye kona.
Akicheza nafasi yake ndiyo unakua unamuona Daniel James.Ni mchezaji mwenye potential kubwa ila toka amekuja chelsea amekuwa akichezeshwa out of his position ...ukitaka kumuangalia vizuri cheki ile game yake ya kwanza dhidi ya liverpool
Walimuuza Leeds ili jezi yake avae Cavani halafu ya Cavani agewe Ronaldo.Hivi yule dogo ,Daniel James wa manyumbu walimpeleka wapi ? ,Yule dogo ni nilikuwa naona anakipaji na potential Sana sijui nini kilichomkumba
Kwa Demand ya chelsea sioni De Zerbi akipata Hiyo nafasi although naelewa ni kocha mzuri but at that stage tulipo tunahitaji kocha mzoefu wa team kubwa na mwenye ushindani ila kwa Hansi flick ninaweza kukubaliana na weweHansi Flick, De Zerbi,
Lakini alikubali majukumu mazito ambayo ayaweziSasa hilo sio kosa lake maana akujipeleka pale
Ni miongoni mwa michezo Bora kabisa kuwahi kutokeaIla Chelsea na Liverpool huwa tunakamiana sana ,na game huwa nzuri sana ,sema msimu huu tuko wote wabovu sana so , hata game ni kubutua butua ila game za mwaka jana zile fainali mbili FA na carabao zilikuwa game tough Sana ,na mbungi ilipigwa kinoma noma , sijui leo itakuwaje ,vipofu wanakutana tena
Hivi bado Havertz anawekwa tu kwnye kikosi?? Basi bado hatujatatua tatizo.Lineup
Kepa
James fofana koulibaly cucurela
Kante kovacic enzo
Felix havertz chilwell
Jogoo tunamnywa supu
Salah hayupo kwenye xi
Bora hata Liverpool, Chelsea ndio masenge kabisaUmaliziaji bado Kovacic ,Felix , Havertz wamekosa chances za wazi kabisa ,tungekuwa tunaongoza 3 sasa hivi