Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Si tulikubaliana kuwa atajenga CV mbele kwa mbeleKwani Potter si tulimchukua akiwa kazini. Tulilipa kama mil 20 kumtoa Brighton. Issue sio kocha asiye kazini wala aliyefukuzwa. Issue ni kocha mwenye uzoefu na timu kubwa na kubeba makombe
Enrique sawa
Conte sawa
Hata Mou arudi
Julian namuona bado anahitaji kukomaa japo
Christopher Vivell anampigia chapuo kweli kweli
Imekuwaje tena jamani?

