juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Jibu baada ya kuelewa pointi yangu
Wazo langu la msingi sio kafanya vizuri bali Brighton ilifanya vizuri ilifika hado top of the table huko nyuma hawakuwahi kufanya hivyo
Pia nikaongeza mfano wa Lampard Chelsea ilimaliza top 4
Wazo langu kama hata kama kosa ni la kocha wachezaji na ubora wao wamechangia nini hadi timu inafika nafasi ya 11
Kama ni wachezaji bora si wangefunika madhaifu ya kocha?
Kukaa kileleni only kwa game chache halaf mwisho wa msim ukamaliza wa 10 hiyo ni achievement?
Wakifunika madhaif inamaana bado kocha ataendelea kuwepo, huwez kila game ufuniks madhaif, kuna game zinahitaj mbinu za kocha kumkabili mpinzani wako,
kocha lazima uwape wachezaj wako morale na hali ya kuhakikisha mnaimprove ila kwa potter yeye kila siku the lads gave everything mara stats zilikuwa upande wetu blah blah nyingi
