Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Napoli Head Coach - Spalletti 64yrs on the list for the next Chelsea Manager
 
Shevchenko, who played for Chelsea between 2006 and 2009, said the forward is 'in good hands'
Huyu jamaa naye alikuwa flop mkubwa alipokuja Chelsea. Anamtetea Mudryk kuwa ni usajili kwa ajili ya baadaye, apewe muda tu. Yuko mikononi salama darajani
69386001-0-image-m-28_1680423889541.jpg
 
Tuko hapa tulipo kwa sababu ya vitu viwili
i)Maamuzi ya Boehly mwanzon mwa msim. Kutaka kufanya mambo mengi kwa mkupuo, niliwah sema hapa why unafukuza kocha huku huna Mkurugenzi wa ufundi or wamichezo. Boehly maamuzi yake ya mwanzon ndionyametuathiri kwa namna moja au nyingine.
Okay sawa ukamfukuza Tuchel badala ya kuhire kocha mwenye uwezo kama wa tuchel o zaidi akaleta kocha wa level za chini huku akiwa hajawah kuprove chochote katika soka la uk.

ii)Uwezo wa potter na mbinu zake, 6 months na hakuna maendeleo yoyote, kufumbia macho ujinga na kutupa press conference utasema team ya mid table, tucheze vibaya yeye hatak kubeba mzigo ni the lads gave everything, kushindwa kuelewa somo la short term plan, hata kama ni meneja wa long term ila inabidi ushinde hizi short term kuprove kam wewe ni right man kwa ile kazi na si excuse za Arteta,Klop,Pep kuwa walipewa mda, je huo mda waliopewa unahisi hawakuonesha kitu ndani ya mda mfupi?
 
Tuko hapa tulipo kwa sababu ya vitu viwili
i)Maamuzi ya Boehly mwanzon mwa msim. Kutaka kufanya mambo mengi kwa mkupuo, niliwah sema hapa why unafukuza kocha huku huna Mkurugenzi wa ufundi or wamichezo. Boehly maamuzi yake ya mwanzon ndionyametuathiri kwa namna moja au nyingine.
Okay sawa ukamfukuza Tuchel badala ya kuhire kocha mwenye uwezo kama wa tuchel o zaidi akaleta kocha wa level za chini huku akiwa hajawah kuprove chochote katika soka la uk.

ii)Uwezo wa potter na mbinu zake, 6 months na hakuna maendeleo yoyote, kufumbia macho ujinga na kutupa press conference utasema team ya mid table, tucheze vibaya yeye hatak kubeba mzigo ni the lads gave everything, kushindwa kuelewa somo la short term plan, hata kama ni meneja wa long term ila inabidi ushinde hizi short term kuprove kam wewe ni right man kwa ile kazi na si excuse za Arteta,Klop,Pep kuwa walipewa mda, je huo mda waliopewa unahisi hawakuonesha kitu ndani ya mda mfupi?
Arteta hakua ameprove chochote kabla hajaja Arsenal

Potter alistahili muda wajameni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom