Tuko hapa tulipo kwa sababu ya vitu viwili
i)Maamuzi ya Boehly mwanzon mwa msim. Kutaka kufanya mambo mengi kwa mkupuo, niliwah sema hapa why unafukuza kocha huku huna Mkurugenzi wa ufundi or wamichezo. Boehly maamuzi yake ya mwanzon ndionyametuathiri kwa namna moja au nyingine.
Okay sawa ukamfukuza Tuchel badala ya kuhire kocha mwenye uwezo kama wa tuchel o zaidi akaleta kocha wa level za chini huku akiwa hajawah kuprove chochote katika soka la uk.
ii)Uwezo wa potter na mbinu zake, 6 months na hakuna maendeleo yoyote, kufumbia macho ujinga na kutupa press conference utasema team ya mid table, tucheze vibaya yeye hatak kubeba mzigo ni the lads gave everything, kushindwa kuelewa somo la short term plan, hata kama ni meneja wa long term ila inabidi ushinde hizi short term kuprove kam wewe ni right man kwa ile kazi na si excuse za Arteta,Klop,Pep kuwa walipewa mda, je huo mda waliopewa unahisi hawakuonesha kitu ndani ya mda mfupi?