lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,384
- 25,493
Wachezaji walio wengi wa mbele huwa wanazimudu nafasi zote za mbele isipokuwa strikerKaeleza vizuri namba 10 ni yule mwenye uwezo wa kuchezesha team kuunganisha safu ya kiungo ya Kati na eneo la ushambuliaji, kuwa na jicho la kupiga pass ya mwisho yenye uwezo wa kufungua team pinzani ukiangalia hizi sifa Mount hana, mount ni kama feisali toto kiuchezaji na ukizingatia pale chelsea kashapoteza namba nafasi yake anacheza Jao felix na hata msimu ujao nafasi yake itazidi kuwa ndogo zaidi kwasababu kutakuna na Nkuku, Mudryk, Madueke, Kai havert, chelsea watamsajili jumla felix alafu kutakuwa na sterling pamoja na striker watakaosajili na kwa mfumo wa Potter wa 3-4-3 mbele wanahitajika wachezaji watatu tu je nafasi ya Mount unaona itakuwepo?
Cash Money Forever Southern Highland
- Mount anaweza cheza no. 10 na winga zote
- Mudryk anaweza cheza na. 10 na winga zote
- Nkunku anaweza cheza namba zote za mbele, 10, winga false no. 9
- Felix anaweza anaweza cheza namba zote za mbele, 10, winga na false na. 9
- Sterling ni winga zote mbili tu including wide
- Havertz anaweza cheza zote, 10, winga na false na. 9
- Ziyech na Madueke ni winga wa kulia tu
- Pulisic anaweza cheza nafasi zote, 10, winga na false na. 9
Mount akidinda kwenye mshahara auzwe ila sio kwa Liverpool,
Tukiwa na kocha mzuri hizi mashine zinazobaki zinafaa kuleta ubingwa tumsajili tu striker ikibidi ila sio lazima. Tatizo letu kwa sasa kubwa ni la kocha, sio wachezaji
