Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Koulibaly against Benzema
Cucurella against Vinicius Jnr

...Things we love to see in football..
Screenshot_20220901-230315.jpg
 
Maoni ya mchambuzi makini George Ambangile juu ya namna Mase anaweza fit kwenye mfumo gani. View attachment 2556426
Kaeleza vizuri namba 10 ni yule mwenye uwezo wa kuchezesha team kuunganisha safu ya kiungo ya Kati na eneo la ushambuliaji, kuwa na jicho la kupiga pass ya mwisho yenye uwezo wa kufungua team pinzani ukiangalia hizi sifa Mount hana, mount ni kama feisali toto kiuchezaji na ukizingatia pale chelsea kashapoteza namba nafasi yake anacheza Jao felix na hata msimu ujao nafasi yake itazidi kuwa ndogo zaidi kwasababu kutakuna na Nkuku, Mudryk, Madueke, Kai havert, chelsea watamsajili jumla felix alafu kutakuwa na sterling pamoja na striker watakaosajili na kwa mfumo wa Potter wa 3-4-3 mbele wanahitajika wachezaji watatu tu je nafasi ya Mount unaona itakuwepo?
Cash Money Forever Southern Highland
 
Kiufupi Mount = Simba Bob Jr

Dirisha la January tulisajili Simba wakali sana.

Kipindi cha nyuma niliwahi kusema, tulikuwa na wachezaji wa kawaida sana kikosini na walipata namba kwa sababu hatukuwa na wachezaji wenye viwango vikubwa.

Pamoja na Cheek na Gallagher kujituma sana nowdays, still ni wachezaji wa kawaida sana na wataondolewa dirisha kubwa.
Kwa Conor Gallagher hapana sikubaliani na wewe yule ni mchezaji Ambaye ana sifa tofauti na wachezaji tulionao wengi ni strategic player kama alivyokuwa Obi Mikel under Mourinho kwenye awamu yake pili kuja chelsea, Pamoja na kwamba Conor Gallagher technically hayupo vizuri but kitu anachooffer kwenye team ni ile work rate yake ni hali ya juu ana cover distance kubwa ya Uwanja kupitia runs zake, pili ni mchezaji Ambaye ana pressing ya hali juu sana. Ni mchezaji Ambaye anayehitaji pale team inapotaka kulinda matokeo, au inapozidiwa au inacheza na tough opponents ambao Wana mmiliki mpira kwa muda mrefu so aina hii ya mchezaji unamwitaji sana kwenye team nikupe mfano leceister walituzidi mno hasa kipindi Cha pili lakini angalia baada ya kocha kumwingiza Conor Gallagher alibadilisha mchezo cos alisaidia team kwenye kukaba na kuleta balance ya midfielder ndipo game ikawa yetu
 
Kaeleza vizuri namba 10 ni yule mwenye uwezo wa kuchezesha team kuunganisha safu ya kiungo ya Kati na eneo la ushambuliaji, kuwa na jicho la kupiga pass ya mwisho yenye uwezo wa kufungua team pinzani ukiangalia hizi sifa Mount hana, mount ni kama feisali toto kiuchezaji na ukizingatia pale chelsea kashapoteza namba nafasi yake anacheza Jao felix na hata msimu ujao nafasi yake itazidi kuwa ndogo zaidi kwasababu kutakuna na Nkuku, Mudryk, Madueke, Kai havert, chelsea watamsajili jumla felix alafu kutakuwa na sterling pamoja na striker watakaosajili na kwa mfumo wa Potter wa 3-4-3 mbele wanahitajika wachezaji watatu tu je nafasi ya Mount unaona itakuwepo?
Cash Money Forever Southern Highland
No. 10 inategemea na formation, kuna formations zingine ambazo hazina kabisa na. 10
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom