Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dakika ya 60 unaingiza Galagher wtf, baadae tena unaingiza RLC n Chukwumweka

Hawa watu sio wa kuwaamini
Potter
Koulibaly
Kepa

Mda wowote wanakuchomesha,
Kukosekana kwa Silva ni dhahiri, pale goli la pili Koulibaly alitakiwa kusaidiwa na mabeki wengine walitakiwa kukaba nyuma yake, Kipa naye alitakiwa kubashiri kuwa jamaa anapitwa ili apunguze angle ya ufungaji. Kepa sio kipa wa kumtegemea kabisa, anafaa kuwa super sub tu. Chelsea imtafute Kipa no. 1. End of story
 
Tatizo ambalo lipo mabosi wanamkingia kifua nashindwa kuelewa wanaona nini kwa huyu kocha kilaza yani kuna mda mtu unaumia kuona kila siku makosa ni yaleyale halafu abadiliki

Ule ushindi wa mechi 3 ulitupumbaza sana lakini tulikuwa tunajua kabisa hatuwezi kufika popote na huyu kocha
Tatizo kuu hapa Chelsea ni Boehly wala sio wakuu wote. Lile limarekani la kijinga, kashafanya ujinga sasa anajitahidi kufunika ujinga wake
 
Sikukuu ya wajinga wacheza hawa wanarudi
1679180174621.png
 
Una Mudyk na Madueka wachezaji wenye nguvu, kasi na ubunifu wako benchi.

Unamtoa Pulisic unaingiza Gallagher mpira vurugu

Unamtoa Filex, Kovacic, Fofana unaingiza vituko.

Kwahiyo tukipata goli kinachofuata ni sub za kujilinda tuu.

Potter ni mkosi tuliopata Chelsea, ni ajali kubwa tumeipata katika historia ya THE BLUES
Mpeni timu Juma Mgunda
 
Lakini kwanini kila siku anafanya makosa hayo hayo ya wrong substitutions za wachezaji? makosa ambayo hata Mswahili wa kawaida hapa kwenye kibanda umiza ana yaona dhahiri, kweli huyu jamaa alifuzu masomo ya ukocha? au ana bebwa kwasbb ni Muingereza na ligi ni English premier league.

Utaondoa je beki hana hata kadi ya jano na umebakiza dakika tano mpira uishe na ukaweka mpya asio kua na concentration na pace ya mchezo kwa wakati huo? utaondoa je kiungo anaye weza kushikilia mpira na kutoa pass haraka na kuingiza mtu anaye tegemea pass za kiungo ulio mtoa asie jua dribling au chenga wakati huo unataka kulinda ushindi wako wa goli moja na points 3......sasa matokeo yake ndo kupoteza point mbili muhimu nyumbani.
Tupunguze ukali tuwe wapole

The guy is cooking

Chuck Norris mitano tena
20230226_191151.jpg
 
Ni muda muafaka wa Potter kufanya yafuatayo kabla hajaliwa kichwa.
1. Kubadilika kwenye kufanya sub...jamaa ni mpuuzi sana.
2. Kuangalia namna bora ya kumaliza mchezo akiwa na ushindi mkononi.
3. Kumbadilisha yule Bonge wake anaemshauri kuhusiana wakati wa kufanya Sub.
4. Tofauti na hapo, Kichwa kinaenda kuliwa kabla ya Champion match against Real Madrid.
Naomba mwamini maneno yangu.
Tukuamini wewe kama nani?

Sisi tuna imani na Chuck Norris
 
Mimi huwa nawambia hapa tusije pumbazwa na ushindi tunao pata, Potter ni senge tu hafai kuwa kocha wetu. Kinacho umiza zaidi huyu fala hajifunzi kupitia makosa yake sub anazo fanya ndio hizo kila siku anafanya. Huyo mbwa anajua kukera sana wale walio mtishia maisha sijui wanasubiri nini kummaliza. Sijawahi ona kocha mbugila kama hilo choko, kiukweli nimeumia sana kupoteza alama 3 leo.
Ona akili za kenge hizi

Una cheti cha ukocha kwa level yoyote?
 
Una Mudyk na Madueka wachezaji wenye nguvu, kasi na ubunifu wako benchi.

Unamtoa Pulisic unaingiza Gallagher mpira vurugu

Unamtoa Filex, Kovacic, Fofana unaingiza vituko.

Kwahiyo tukipata goli kinachofuata ni sub za kujilinda tuu.

Potter ni mkosi tuliopata Chelsea, ni ajali kubwa tumeipata katika historia ya THE BLUES
Boehly sio strategician hata kidogo. Maozo yote pale ni ya huyo Mmarekani. Kajaa kiburi tu
 
POTATO HII TIMU SIO YA WAINGELEZA. Baada ya kuongoza goal 2 akaanza kujaza michezaji yake ya kiingeleza
JamiiForums-1420116360.jpg
 
Una Mudyk na Madueka wachezaji wenye nguvu, kasi na ubunifu wako benchi.

Unamtoa Pulisic unaingiza Gallagher mpira vurugu

Unamtoa Filex, Kovacic, Fofana unaingiza vituko.

Kwahiyo tukipata goli kinachofuata ni sub za kujilinda tuu.

Potter ni mkosi tuliopata Chelsea, ni ajali kubwa tumeipata katika historia ya THE BLUES
Yani goal 1 tu anaanza kuingiza wakabaji badala ya kuongeza nguvu kutafuta goal la 2 ndio kwanza anaingia Galagher kwa ajili ya kukaba
 
Ni muda muafaka wa Potter kufanya yafuatayo kabla hajaliwa kichwa.
1. Kubadilika kwenye kufanya sub...jamaa ni mpuuzi sana.
2. Kuangalia namna bora ya kumaliza mchezo akiwa na ushindi mkononi.
3. Kumbadilisha yule Bonge wake anaemshauri kuhusiana wakati wa kufanya Sub.
4. Tofauti na hapo, Kichwa kinaenda kuliwa kabla ya Champion match against Real Madrid.
Naomba mwamini maneno yangu.
Hawezi badilika yani ukiona tu tunaongoza moja hata kama ni dakika ya 50 atamuingiza galagher ali akabe, hana akili ya kutafuta magoal mengine
 
Kaeleza vizuri namba 10 ni yule mwenye uwezo wa kuchezesha team kuunganisha safu ya kiungo ya Kati na eneo la ushambuliaji, kuwa na jicho la kupiga pass ya mwisho yenye uwezo wa kufungua team pinzani ukiangalia hizi sifa Mount hana, mount ni kama feisali toto kiuchezaji na ukizingatia pale chelsea kashapoteza namba nafasi yake anacheza Jao felix na hata msimu ujao nafasi yake itazidi kuwa ndogo zaidi kwasababu kutakuna na Nkuku, Mudryk, Madueke, Kai havert, chelsea watamsajili jumla felix alafu kutakuwa na sterling pamoja na striker watakaosajili na kwa mfumo wa Potter wa 3-4-3 mbele wanahitajika wachezaji watatu tu je nafasi ya Mount unaona itakuwepo?
Cash Money Forever Southern Highland
Joao Felix hachezi namba 8 anaweza cheza namba 10 au winga sometimes hata false 9. Nkunku ni winger hasa kushoto kwa hiyo nafasi ya Mase anapigania na kuna Enzo
 
Kiufupi Mount = Simba Bob Jr

Dirisha la January tulisajili Simba wakali sana.

Kipindi cha nyuma niliwahi kusema, tulikuwa na wachezaji wa kawaida sana kikosini na walipata namba kwa sababu hatukuwa na wachezaji wenye viwango vikubwa.

Pamoja na Cheek na Gallagher kujituma sana nowdays, still ni wachezaji wa kawaida sana na wataondolewa dirisha kubwa.
Mkuu kile kuwango cha Mount msimu uliopita unakizungumziaje? Mimi siamini kama Mount ni mchezaji wa kawaida
 
Nimesema na nitarudia kusema Potter hatufai hakuna kocha pale. Haeleweki anataka nini kuanza anapotoa line up mpaka game ikiwa inaendelea haoneshi hasira mchezaji anapofanya makosa yupoyupo tu kama baloon na mashavu yake.

Mini siku hizi haa sishangai kwa sababu jana ilikua chance nzuri kutoka nafasi ya 10 kupanda mpaka 9. Fulham huko waliko watakua wanarurahi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom