Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pole sana Anne, Real Madrid ni Mungu wenu Liver na mnawaogopa kweli kweli kwa sababu anawafunga atakavyo, ila sio kwetu
Kwa hali mliyonayo sasahivi sidhani kama mtawaweza
Mimi nipo nasubiri..
Mkiwafunga nidai chochote.
 
Hii ni kweli?

 
Mkuu ushindani ni mkubwa kule mbele kuliko unavyofikiri, akibaki Mount msimu ujao itakuwa terible kwani Nkunku akiongezeka sijui itakuwaje
Kwanza Pulisic hata akibaki anaweza kosa namba kabisa ya kukaa benchi
Mount ataface competition kubwa na akina Nkunku, Felix, Mudryk, Sterling, Madueke, Kai Havertz bila kuwasahau pulisic na Galagher
Uzuri wa Mount anaweza cheza kuanzia CM , AM, na winga ila nafasi yake nzuri ni winga ambazo zina ushindani mkubwa
Potato unamuelewa unamsikia?, wote hao akina nkuku, mudyk, felix wanaweza wakawa wanasugua benchi, 1st eleven yake wakacheza mount, gallaghar, RLC
 
WEEK 2 HIZI HAMNA MECHI MASHABIKI WA CHELSEA TUNENEPE KABLA YA MWEZI WA 4
20230316_234656.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom