Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Na scania mbili za wachezajiHP apewe Millennium kabisa kuikochi Chelsea FC![]()
Na scania mbili za wachezajiHP apewe Millennium kabisa kuikochi Chelsea FC![]()
Conte jana kawalipukia wachezaji kwelikweli na kuwaita wabinafsi hawachezi kama timu. Hasira aliyokuwa nayo nilidhani hapo hapo kwenye press conference atafukuzwa. Kwa upande wetu hata timu ishuke daraja. Kocha utasikia The lads gave it everything. The boys played very well except that the results were not goodNimesema na nitarudia kusema Potter hatufai hakuna kocha pale. Haeleweki anataka nini kuanza anapotoa line up mpaka game ikiwa inaendelea haoneshi hasira mchezaji anapofanya makosa yupoyupo tu kama baloon na mashavu yake.
Mini siku hizi haa sishangai kwa sababu jana ilikua chance nzuri kutoka nafasi ya 10 kupanda mpaka 9. Fulham huko waliko watakua wanarurahi sana
Kwanza mimi nilivyoona yale maneno ya Conte nikajua keshafukuzwa ndio maana kaongea vile kumbe bana kashindwa kuvumilia kaamua liwalo na liweConte jana kawalipukia wachezaji kwelikweli na kuwaita wabinafsi hawachezi kama timu. Hasira aliyokuwa nayo nilidhani hapo hapo kwenye press conference atafukuzwa. Kwa upande wetu hata timu ishuke daraja. Kocha utasikia The lads gave it everything. The boys played very well except that the results were not good
BADO HP HAJAFUKUZWA TU?Na scania mbili za wachezaji
Punguza hasira brotherPotter linauzi sana
Kila mechi anafanya rotation za kipumbavu sana. Lini atapata 1st eleven ya ushindi?
Pulisic ametoka majeruhi unamuanzisha ya nini? Ili hali una Mudryk ambaye yuko fit, ameanza kuozea EPL na mechi iliyopita ametoa assists ya goli.
Unamtoa Pulisic unaingiza Gallanger mpira vurugu then cheek, Cholobah Dah.
Pulisic out = Mudyk in
Jao out = Madueke In (Kai arudi katikati false 9).
Badilisha mfumo nenda 4-3-3
Mudyk --- Kai -- Madueke
Kovacic -- Enzo -- Kante
Everton angepelekewa moto tungemfunga hata goli 4.
UnawashwaKitulize bi mkubwa View attachment 2557436
Dah ukiongea hivo nakumbuka goal la kwanza match dhidi ya porto msimu tuliobeba uefa.Mkuu kile kuwango cha Mount msimu uliopita unakizungumziaje? Mimi siamini kama Mount ni mchezaji wa kawaida
Kashakuwa senge tena🤣🤣🤣🤣Mimi huwa nawambia hapa tusije pumbazwa na ushindi tunao pata, Potter ni senge tu hafai kuwa kocha wetu. Kinacho umiza zaidi huyu fala hajifunzi kupitia makosa yake sub anazo fanya ndio hizo kila siku anafanya. Huyo mbwa anajua kukera sana wale walio mtishia maisha sijui wanasubiri nini kummaliza. Sijawahi ona kocha mbugila kama hilo choko, kiukweli nimeumia sana kupoteza alama 3 leo.
10th na Chelsea ni Daima Dam DamNafasi ya kumi ni yetuView attachment 2557586
Sasa anatokea mtu anasema Mount ni average kweli? Nasi hayo magoli tu kile kiwango kilichangiwa na kocha Tuchel yule jamaa anajua bhana basi tu walishindwa kuelewana na ToddDah ukiongea hivo nakumbuka goal la kwanza match dhidi ya porto msimu tuliobeba uefa.
Au goal la kwanza msimu uliopita second leg dhidi ya madrid.
Dele Ali alipewa muda na alikua na kocha mzuri sasa unategemea kumuona Potter akipandisha kiwango cha Mount? Haya yule Mudryk sio wa kukaa bench lakini kwa Potter kenge manyoyaa anampiga bench.Kile kiwango hakiwezi kurudi tena, na wala hakikuwa kiwango kikubwa kiivyo bali tulikuwa na kikosi kibovu cha wachezaji wengi wavivu.
Zile Jitihada kidogo za kujituma za Mount akaonekana bonge la mchezaji.
Mount hajafika hata nusu ya kile kiwango cha Dele Alli akiwa kwenye ubora wake.
Inaweza isirudi ila kwa umri wake kashawapita Lampard na Gerad wa Liverpool enzi za umri huoKile kiwango hakiwezi kurudi tena, na wala hakikuwa kiwango kikubwa kiivyo bali tulikuwa na kikosi kibovu cha wachezaji wengi wavivu.
Zile Jitihada kidogo za kujituma za Mount akaonekana bonge la mchezaji.
Mount hajafika hata nusu ya kile kiwango cha Dele Alli akiwa kwenye ubora wake.
Hata Hazard miaka ile ya mwanzoni Chelsea MOU alikuwa mkali dhidi yake kwa sababu alikuwa mzembe sana. Tumeona aliyofanya Hazard hadi anahamia RM. Sio tu Mount, kuna mchezjai kama Galagher sasa anaonekana wa hovyo kwa sababu ni kama Kondoo bila mchungajiDele Ali alipewa muda na alikua na kocha mzuri sasa unategemea kumuona Potter akipandisha kiwango cha Mount? Haya yule Mudryk sio wa kukaa bench lakini kwa Potter kenge manyoyaa anampiga bench.
Mount kile kiwango kilichangiwa na kocha alikua mkali, ukilala mechi moja inatofuata huchezi unategemea nini?

Ebu pitia upya comment wapi nimesema jao felix anacheza no 8?Joao Felix hachezi namba 8 anaweza cheza namba 10 au winga sometimes hata false 9. Nkunku ni winger hasa kushoto kwa hiyo nafasi ya Mase anapigania na kuna Enzo
Tuna Imani nayeMimi huwa nawambia hapa tusije pumbazwa na ushindi tunao pata, Potter ni senge tu hafai kuwa kocha wetu. Kinacho umiza zaidi huyu fala hajifunzi kupitia makosa yake sub anazo fanya ndio hizo kila siku anafanya. Huyo mbwa anajua kukera sana wale walio mtishia maisha sijui wanasubiri nini kummaliza. Sijawahi ona kocha mbugila kama hilo choko, kiukweli nimeumia sana kupoteza alama 3 leo.




tena kwa Potter


Tulishakubaliana anajenga CV hapahapa darajaniTatizo ambalo lipo mabosi wanamkingia kifua nashindwa kuelewa wanaona nini kwa huyu kocha kilaza yani kuna mda mtu unaumia kuona kila siku makosa ni yaleyale halafu abadiliki
Ule ushindi wa mechi 3 ulitupumbaza sana lakini tulikuwa tunajua kabisa hatuwezi kufika popote na huyu kocha






Nilivyoona Chelsii wamewekwa na Madrid nikasikitika sanaUnaambiwa diet ya Vinicious Jr na Benzema ni tende, karanga mbichi, mbata na juice ya tikiti tu.




