Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na kama amepewa majukumu ya kupiga penalty inamaanisha KAI atakua anacheza mechi zote
Yaani takataka kai ni bora angeuzwa msimu ule alipouzwa Timo Werner , Tulifanya makosa kumuuza Timo ,Timo alikosa tu confidence baada ya kupata majeraha ila angerudi akapewa muda angekuwa abauwasha moto sasa hivi , huyu Kai ni ovyo kabisa , nguvu ,kasi ubunifu zero ,vitu ambavyo Timo alikuwa navyo ,pumbafu sana huyu dogo , KAi ni mshambuliaji wa kutengewa mipira yeye kutap in , kitu ambacho kwa mpira wa sasa huyu ni useless player
 
Yaani pamoja na mapungufu ya Potter lakini pale mbele kuendelea kutegemea mlemavu KAi uongo aiseee , KAi ameprove incapacity yake na failure tangia Enzo za Tuchel , sijui kwanini bado wanamkumbatia huyu mjerumani , Nakasirika sana aisee , tumemnunua Datro Fofana ila anakaa benchi kila
siku ,kama sio ufala ni nini huo ?
 
Leo natamani sana mfungwe kutupokea kuchekwa lakini naona mwanga mbele yenu.

Mtavuka kimaajabu ajabu leo.
Screenshot_20220408-123115.jpg
 
Leo natamani sana mfungwe kutupokea kuchekwa lakini naona mwanga mbele yenu.

Mtavuka kimaajabu ajabu leo.View attachment 2540865
Kwa hii timu na mwenendo wa sasa ,sidhani aisee , Dortmund wako serious misimu huu ,wametoka kumbobda RB Leipzig goli za kutosha bundesliga ,RB Leipzig aliyemdhalilisha city

Sisi litimu linacheza kama la walevi wa gongo
 
Huyu kocha ni kilaza sana, Kai na Sterling wanafanya nini kwenye hicho kikosi?
 
Kwa hii timu na mwenendo wa sasa ,sidhani aisee , Dortmund wako serious misimu huu ,wametoka kumbobda RB Leipzig goli za kutosha bundesliga ,RB Leipzig aliyemdhalilisha city

Sisi litimu linacheza kama la walevi wa gongo
Huyo leipzig kamdhalilisha city lini?
 
wachezaji wetu wamekula maharagwe mabichi na viazi, wamevimbiwa hawawezi kukimbia wala kukaba
 
Kwa hii timu na mwenendo wa sasa ,sidhani aisee , Dortmund wako serious misimu huu ,wametoka kumbobda RB Leipzig goli za kutosha bundesliga ,RB Leipzig aliyemdhalilisha city

Sisi litimu linacheza kama la walevi wa gongo
 
Mtu wa kwanza ambaye hatakiwi kurudi kipindi cha pili ni Sterling hata kama amescore goal.

Match leo imemkataa. Aingie tu hata Pulisic au Mudyrik.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom