Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
DuhUshindi wa manati weee, sikufurahia huu ushindi wa leo kwa sababu unampa kiburi Boehly kwamba ana kocha wakati hana. Dortmund wanaongoza ligi. Tutakuatana nae akiwa na monkari ya ushindi tu
Siku zinakimbia.
Na wewe ushaanza kumkataa Mtaalam GP?





