Mimi nawaambia ukweli, tatizo
lembu huwa ni mbishi hivi hivi miaka yote ,hata pre season tulijadili nae Sana humu akawa mbishi Sana
Mfano ukiniwekea Ten hag na Di zerbi binafsi namchukua Di zerbi
Ten hag anatembea na individual brilliance za wachezaji hawapungui watatu , Rashford Casemiro na Degea ,
Manchester United ni timu ambayo haina tofauti kimfumo na middle table teams, angalia hapo chini ...
ndio maana walipoenda Emirates ndani ya dk 90 waliingia ndani ya box la Arsenal mara 13 tu na hapo Ten hag kakuta timu sio mbaya na akapewa €250m aboreshe kikos
View attachment 2536309