Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vipi wale waliokuwepo????

Usiwalaum wageni ikiwa hata wenyeji ambao wako na Potter tangu mwez wa 9 wanazidi kuregress.

Pottee sio manager sahihi kwa hawa wachezaj, mentality aliyonayo haiendan na wachezaj alionao.

Huwez poteza game mfululizo then useme that is life o the lads gave everything


Angalia Ten Hagg alivyowabadilisha man utd, almost wachezaj wote viwango vyao vimeimprove,

Potter tangu kaja mchezaj gani ambae kiwango chake kimeimprove?
Yote yanawezekana

Potter hata kwa Brighton ilikuwa na tatizo la ufungaji

Kinachomkuta Chelsea uwezo wake umeishia hapo,na msipomfukuza anawashusha zaidi
 
Yote yanawezekana

Potter hata kwa Brighton ilikuwa na tatizo la ufungaji

Kinachomkuta Chelsea uwezo wake umeishia hapo,na msipomfukuza anawashusha zaidi
Sion hata kule brighton hakuna maajabu yoyote aliyoyafanya msim huu alianza vizuri ila sidhan kama angeweza kuendelea vile vile.


Wasiposhtuka ndani game 2 zijazo tunarudi kutoka international break tunaanza kupigania kubakia kwenye league


Angekuwa Roman huyu Potter angekjwa ashafukzwa mara 2
 
Nimekusikia ngoja na mimi nije na orodha yangu,
Makocha 10 bora wenye mbinu na style bora na inayofanya kazi msimu huu wa 2022/23 ni
  1. Mikel Arteta - Ana timu changa lakini ameweza kukaa kileleni mwa ligi na kuwashinda akina pep ambaye ana timu nzuri
  2. Ten hag - Tangu apoteze mechi mbili za mwanzoni kabisa mwa ligi na bado akiwa mgeni, toka hapo amekuwa na wining percentage nzuri sana nafikiri hata kuliko PEP ukichulia ubora wa squad aliyonayo PEP
  3. Antonio Conte - Pamoja na timu mbovu aliyonayo amefanikiwa kuibakiza timu kwenye top 4
  4. Pep Guardiola - huyu alitakiwa kuwa kileleni mwa ligi kulingana na wachezaji bora alionao lakini kwa sababu ya ufahidhina kwenye style of playing ameishia kuwa kwenye namba 2 ambayo nayo anaweza kupokonywa na Man U
  5. Eddie Howe - timu ya kawiada sana iliyokuwa mkiani lakini kajitahidi na kuipeleka timu hadi nafasi ya 5
  6. Marco Silva - Timu ya Championshio lakini amekuwa na mbinu na style dhabiti iliyompa point za kutosha kuwa kwenye top 7 hadi sasa
  7. Roberto De Zerbi - Pamoja na kweli kwamba Potter aliiacha timu pazuri lakini pia naye kaonyesha kuwa kocha mzuri na mwenye mbinu hasa kwa kuweza kuibakiza timu juu ya table na pia kuweza kufunga timu kubwa kudroo na kwuafunga Liverpool mara 2, kuwasuprise Chelsea kwa goli 4,
  8. Thomas Frank - Kama Silva ana timu ya Championshio lakini amekuwa na mbinu na style dhabiti iliyompa point za kutosha kuwa kwenye top 9 hadi sasa
  9. Klopp - ni kocha mzuri lakini mbinu zimemuishia hadi anastrugle kutoka kwenye midtable hadi nafasi ay 6
  10. Unai Emery - pamoja an kuipokea timu October ameweza kuitoa timu mkiani hadi nasfai ya 11
Nimejaribu kufafanua sababu za kufikria kocha anastahili kuwepo kwenye hiyo nafasi
Ni mtizamo wako na lazima uheshimiwe ,ila binafsi Di zerbi namuogopa kuliko hata huyo Ten hagg au hata klopp kwasasa

Di zerbi timu yake anacheza tactics kabisa , amemnyanyasa Sana klopp mech zote mbili ,alienda Etihad ,Pep alishindwa kabisa kumiliki mpira na kumpress Di zerbi

Arsenal alikuwa anaongoza kwa kufanya press ila kwa Di zerb ilikuwa battle la tactics


Kumbuka ni timu ambayo ya kawaida ,na Kuna mechi alikuwa anawakosa Caicedo ,MacAlister, Trossard ,

Di zerb akipewa Chelsea hii TUMEKWISHA.
 
Sion hata kule brighton hakuna maajabu yoyote aliyoyafanya msim huu alianza vizuri ila sidhan kama angeweza kuendelea vile vile.


Wasiposhtuka ndani game 2 zijazo tunarudi kutoka international break tunaanza kupigania kubakia kwenye league


Angekuwa Roman huyu Potter angekjwa ashafukzwa mara 2
Potter pale Brighton alifanikiwa timu yake kufanya buildup nzuri ila mbele kuanzia Kati ilikuwa ya kawaida hata kufunga ilikuwa mtihani ,ni vile alikuwa Brighton watu hawatatilii

Msimu wa mwaka Jana nadhani ndiye kocha alikuwa na draw nyingi


Anachopitia Sasa kwa Chelsea ndio uwezo wake umegota hapo hajawahi kuwa mzuri kwenye solution eneo la ufungaji
 
Huyu bonge Moja la kocha ,Tactician


Ukiniuliza makocha Bora Epl kwa Sasa kimbinu nawapanga hivi

Pep Guardiola

Mikel Arteta

Di zerbi

Eddie Howe

Ten hag

Unai Emery

Conte

Klopp



Di zerbi ame wa outshine Klopp ,Pep ,Arteta kwa umiliki wa mpira

Kwa timu zinazofanya buildup Bora EPL Kuna Arsenal ,City na Brighton

Potter akiwa hata Brighton timu yake ilikuwa ina struggle kufunga

Di zerbi akienda Chelsea mwakani anagombea ubingwa
Wanaweza hisi km unawanafikia lkn kuna chembechembe za ukweli kabisa
 
Ndio nisemacho ,haijulikan mmewasajili ili watumikaje

Huon Kuna gepu Kati ya Potter na wanaomsajilia
Potter kawekwas pale tu kama puppet, huo ujanja wa Boehly kwenye football hasa la Uingereza haifanyi kazi kabisa. Itabidi tu apige magoti awalete makocha wenye msimamoa na mbinu
 
Angalau hii inaweza kuwa good news kama taarifa hizi ni za kweli
FqDJIJMX0AE5jeF
 
HAKUNA SHABIKI WA CHELSEA ANAYETEGEMEA GOOD NEWS KUBWA ZAIDI YA TAMKO LA UONGOZI KUHUSU POTTER
Tutaanza kutegemea good news baada ya Potter kufukuzwa hata Chelsea ibaki bila kocha hadi msimu uishe. Tutakuwa na some good news nje ya Potter
FqOiQXPX0AACTjY
 
Arsenal mchezaji wao akiumia au akifanyiwa rafu mbaya wanaonyesha ushirikiano, sisi ushirikiano mdogo sana. Hii inawakilisha mentality na umoja uliopo dressing room. Kwa staili hii tusitegemee kushinda
1677819307324.png
 
Arsenal mchezaji wao akiumia au akifanyiwa rafu mbaya wanaonyesha ushirikiano, sisi ushirikiano mdogo sana. Hii inawakilisha mentality na umoja uliopo dressing room. Kwa staili hii tusitegemee kushinda
View attachment 2535548
Kocha ndie anayetengeneza mentality hiyo, sahiv wacheza mentality yao iko chini wanahitaj mtu atakaewapush
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom