Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata Potter umesahau alichokifanya big four alipokuwa Brighton msimu uliopita ,kuna big four ambaye hakubondwa na kudhalilishwa kwa kuchezewa mpira na Brighton msimu uliopita hata huu mwanzoni chini ya potter kabla dezerbi hajaja?

Hawa makocha wa timu ndogo wabaki huko huko aisee ,Chelsea timu kubwa
 
Breaking: Mason Mount out of Chelsea's game against Leeds.

Reece James also doubtful with a tight hamstring.

#CFC
 
  • Thanks
Reactions: K11
Wanaweza hisi km unawanafikia lkn kuna chembechembe za ukweli kabisa
Mimi nawaambia ukweli, tatizo lembu huwa ni mbishi hivi hivi miaka yote ,hata pre season tulijadili nae Sana humu akawa mbishi Sana


Mfano ukiniwekea Ten hag na Di zerbi binafsi namchukua Di zerbi

Ten hag anatembea na individual brilliance za wachezaji hawapungui watatu , Rashford Casemiro na Degea ,

Manchester United ni timu ambayo haina tofauti kimfumo na middle table teams, angalia hapo chini ...

ndio maana walipoenda Emirates ndani ya dk 90 waliingia ndani ya box la Arsenal mara 13 tu na hapo Ten hag kakuta timu sio mbaya na akapewa €250m aboreshe kikos

IMG_20230303_220432.jpg
 
Mimi nawaambia ukweli, tatizo lembu huwa ni mbishi hivi hivi miaka yote ,hata pre season tulijadili nae Sana humu akawa mbishi Sana


Mfano ukiniwekea Ten hag na Di zerbi binafsi namchukua Di zerbi

Ten hag anatembea na individual brilliance za wachezaji hawapungui watatu , Rashford Casemiro na Degea ,

Manchester United ni timu ambayo haina tofauti kimfumo na middle table teams, angalia hapo chini ...

ndio maana walipoenda Emirates ndani ya dk 90 waliingia ndani ya box la Arsenal mara 13 tu na hapo Ten hag kakuta timu sio mbaya na akapewa €250m aboreshe kikos

View attachment 2536309
Mkuu hivi wewe ten hag umemjulia wakati yupo Manchester? ni jibu ili kwanza hafu tuendelee.
 
Kwaiyo unataka uniambie mpira wenye tuna cheza saizi man u ndo ule ambao ten hag ametoka nao ajax.
Tofauti kabisa ,mpira wa Ajax ni culture yao hata kocha wa Sasa anacheza hivo hivo

Ndio maana Ten hag imebidi acheze direct football hapo Manchester ,
 
Toka yupo Ajax ,Mimi siongei kishabiki ,

Tutakuwa tunakumbushana
Ok tusibishane sana hata Ten hag mwenyewe toka amefika Manchester amekili Kwamba kwa Sasa anajenga timu.

Ila katika kujenga timu anaitaji na matokeo mazuri hataki mambo kama ya arteta toka kaanza kuinoa arsenal ladha ya uefa fans wa arsenal hamjui ipoje

Kocha hawezi kuanza tu kucheza mpira mzuri wakati anajua wachezaji wakufanya nae ivyo hana

Sisi kwa Sasa tunataka point tu hayo ya mpira mzuri tumewaachieni nyie arsenal.

Sisi burudani yetu ni mabao tu.
 
Tofauti kabisa ,mpira wa Ajax ni culture yao hata kocha wa Sasa anacheza hivo hivo

Ndio maana Ten hag imebidi acheze direct football hapo Manchester ,
Kwaiyo mkuu unaweza kuniambia Kwanini mpira mnaocheza saizi arsenal arteta akuanza nao toka msimu wake wa kwanza hapo arsenal?
 
Tofauti kabisa ,mpira wa Ajax ni culture yao hata kocha wa Sasa anacheza hivo hivo

Ndio maana Ten hag imebidi acheze direct football hapo Manchester ,
Kocha wetu alishaweka wazi kila kitu kwa sasa anaitaji matokeo tu hawezi kucheza mpira anao utaka wakati wachezaji hao hana.

hata anza kucheza mpira mzuri mpaka hapatikane kwanza goalkeeper anaeweza kuanzisha mashambulizi kuanzia nyuma na kiungo anae weza kumiliki mpira.

Sasa mnataka tuwe tunacheza mpira mzuri hafu tunaishia kufungwa sisi sio arsenal tucheze misimu yote kiasi icho pasipo kwenda uefa hayo Mambo mnayaweza fans wa arsenal tu.
 
Kocha wetu alishaweka wazi kila kitu kwa sasa anaitaji matokeo tu hawezi kucheza mpira anao utaka wakati wachezaji hao hana.

hata anza kucheza mpira mzuri mpaka hapatikane kwanza goalkeeper anaeweza kuanzisha mashambulizi kuanzia nyuma na kiungo anae weza kumiliki mpira.

Sasa mnataka tuwe tunacheza mpira mzuri hafu tunaishia kufungwa sisi sio arsenal tucheze misimu yote kiasi icho pasipo kwenda uefa hayo Mambo mnayaweza fans wa arsenal tu.
Danganyaneni , au hujaona Degea ndio Kwanza anaongeza mkataba ?

Ameikuta Manchester sio mbovu kiasi hicho kapewa na pesa €250m bado anasema Hana wachezaji

Subiri akosekane Rashford hata mwezi ndio utaelewa Ten hag ni kocha wa kawaida tu,
 
Ok tusibishane sana hata Ten hag mwenyewe toka amefika Manchester amekili Kwamba kwa Sasa anajenga timu.

Ila katika kujenga timu anaitaji na matokeo mazuri hataki mambo kama ya arteta toka kaanza kuinoa arsenal ladha ya uefa fans wa arsenal hamjui ipoje

Kocha hawezi kuanza tu kucheza mpira mzuri wakati anajua wachezaji wakufanya nae ivyo hana

Sisi kwa Sasa tunataka point tu hayo ya mpira mzuri tumewaachieni nyie arsenal.

Sisi burudani yetu ni mabao tu.
Scenario mbili tofauti kabisa ,Kwanza ndio maana namtilia shaka Ten hag , sio kweli eti kakuta man u mbovu Kama Arteta alivyoikuta Arsenal


Arteta alikuta Arsenal mbovu Sana , lakini bila hata Mia akabeba FA na CS , Dirisha la Kwanza alipewa £70m tu


Ten hag kakuta man u ina wachezaji asilimia kubwa wazuri na bado akaongezewa €250m , huyu ilitakiwa na inatakiwa acheze vzr na msimu huu alete EPL


Angalia hapo chini kikos alichokuta Arteta Arsenal , Saka alikuwa beki ,Kuna a lot of work imefanyika Kwanza kuwa transform wachezaji ,

Ten hag na uhakika angepewa hii Arsenal aliyoikuta Arteta na Dirisha la Kwanza £70m Basi angeishusha daraja kabisa
IMG_20230303_215326.jpg
 
Kwaiyo mkuu unaweza kuniambia Kwanini mpira mnaocheza saizi arsenal arteta akuanza nao toka msimu wake wa kwanza hapo arsenal?
Believe me Kama Dirisha la Kwanza tu angepewa £200m Basi ingemchukua mwaka mmoja kucheza hivi sababu alipofika alisema anahitaji wachezaji 6 wapya achanganye na waliopo wachache

Lakini ilimbidi awe mpole sababu alianza kwakupewa bajeti ndogo £70m ikafata £140m ikafata £120m na January hii walikuwa tayari kumpa £100m zaidi


Pep Guardiola msimu wa Kwanza aliondoa wachezaji asiowataka ,msimu wa pili alitumia around £200m akabeba ubingwa


Sasa Ten hag kakuta man u sio mbovu kihivo na bado wakamuongezea €250m , anataka Nini zaidi
 
Everton akishuka daraja tutambeba Onana na Pickford. Hilo liko wazi
 
Believe me Kama Dirisha la Kwanza tu angepewa £200m Basi ingemchukua mwaka mmoja kucheza hivi sababu alipofika alisema anahitaji wachezaji 6 wapya achanganye na waliopo wachache

Lakini ilimbidi awe mpole sababu alianza kwakupewa bajeti ndogo £70m ikafata £140m ikafata £120m na January hii walikuwa tayari kumpa £100m zaidi


Pep Guardiola msimu wa Kwanza aliondoa wachezaji asiowataka ,msimu wa pili alitumia around £200m akabeba ubingwa


Sasa Ten hag kakuta man u sio mbovu kihivo na bado wakamuongezea €250m , anataka Nini zaidi
Acha tuone ndo msimu wake wa kwanza tuta taftana misimu mingine kupeana mrejesho.
 
I remember when Chelsea won their first game under Graham Potter, the fans where chanting to the board ;
"Call Tuchel back and sack him again"
 
Mimi naamini Chelsea EPL nzima ndio ina kikosi bora ila wachezaji wamegoma 2.. Naamini pia tuna kikos bora kuliko wakati mwingine wowote.

Tuna kikos cha vijana imara chenye world class players.Kuanzia kipa hadi strikers ila kwa sababu wamegoma huwez watetea Ukiangalia mechi na Tottenham utaamini Chelsea ina mgomo mkubwa na hauishi...

1. Wachezaji wanashoot slowly ili kipa adake.
2. Goli la kwanza pasi ilitolewa af ikanyang'anywa na hakukua na reaction yoyote
3. Goli la tatu ndio kabsaaa yani kona inapigwa watu wamesimama kama mishumaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom