Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Binafsi mawazo yangu kwa sasa yapo kwa kocha gani tutaletewa baada ya Potter?

Potter safari yake imeshafika ukingoni sioni akichomoka kwa Dortmund na mechi zinazofuata baada ya Dortmund.

Huyu Leeds utd Potter anaweza kuokota point.

Naomba Mungu tuletewe kocha ambaye alishabeba makombe makubwa.

Mambo ya kusema sijui kuna makocha hawajabeba makombe lakini wanafundisha mpira mzuri, hapana hao hawatufai. Wabaki huko na mpira wao mzuri

Tunataka world class coach ambaye ana historia ya kubeba makombe makubwa katika ushindani mkubwa.
Nimesikia watu wanamuongelea diego simeone ila mimi huyu jamaa sitaki hata kumsikia
 
Ukitaka kujua sisi ni wabovu

Soton wamefungwa hadi na timu za madaraja ya chini isipokuwa Chelsea

FqKfDiSXgAA7Vxi
 
Chelsea kuanzisha chombo kinachoitwa Bodi ya Ushauri ya Mashabiki. Bodi itaundwa na wanachama watatu kutoka Supporter Advisors to the Board na watatu wengine kutoka mashabiki wa kawaida wenye kitambulisho cha uanachama. Hawa kazi yao itakuwa ni kukusanya maoni kutoka kwenye forums mbalimbali na mitandao mingine ili kuyachakata na kuwasilisha kwenye Bodi ya Klabu ili yafanyiwe kazi. Hii ni mojawapo ya ahadi ya akina Boehly waliyoahidi kuwashirikisha mashabiki kwenye uendeshaji wa timu.

Chelsea Football Club is delighted to announce the establishment of our new Fan Advisory Board. The FAB is an initiative to help fulfil our promise to be pioneers in fan engagement.

fans_outside_West_Stand.jpg
 
Binafsi mawazo yangu kwa sasa yapo kwa kocha gani tutaletewa baada ya Potter?

Potter safari yake imeshafika ukingoni sioni akichomoka kwa Dortmund na mechi zinazofuata baada ya Dortmund.

Huyu Leeds utd Potter anaweza kuokota point.

Naomba Mungu tuletewe kocha ambaye alishabeba makombe makubwa.

Mambo ya kusema sijui kuna makocha hawajabeba makombe lakini wanafundisha mpira mzuri, hapana hao hawatufai. Wabaki huko na mpira wao mzuri

Tunataka world class coach ambaye ana historia ya kubeba makombe makubwa katika ushindani mkubwa.
Hata kwa leeds haokoti point. Yani kama tunamsubir mpk kwa game ya dortmund then itakuwa too late
 
Kama kweli poor performance ya timu ni zaidi ya matatizo ya kocha, kwa maana labda pia wachezaji wamegawanyika basi hata hiyo mechi ya Leeds utd tutapoteza.

Nakumbuka TT alivyotua THE BLUES kwenye uwanja wa mazoezi alivyokuwa anaelekeza mbinu zake kwa hari ya hali ya juu.

Ghafla Rudger ambaye alikuwa hapati nafasi kwenye kikosi ghafla akajeuka lulu.

Naamini kocha mpya akitua inawezekana Auba akawa pacha wa Halland wakina Mudryk na Madueka wakawa winga za hatare zaidi duniani.

Sharti tuu tulete world class coach wenye historia ya kubeba makombe katika ushindani mkubwa.
Mtamtoa wap sasa labda mumchukue kocha wa mwadui fc
 
Kama kweli poor performance ya timu ni zaidi ya matatizo ya kocha, kwa maana labda pia wachezaji wamegawanyika basi hata hiyo mechi ya Leeds utd tutapoteza.

Nakumbuka TT alivyotua THE BLUES kwenye uwanja wa mazoezi alivyokuwa anaelekeza mbinu zake kwa hari ya hali ya juu.

Ghafla Rudger ambaye alikuwa hapati nafasi kwenye kikosi ghafla akajeuka lulu.

Naamini kocha mpya akitua inawezekana Auba akawa pacha wa Halland wakina Mudryk na Madueka wakawa winga za hatare zaidi duniani.

Sharti tuu tulete world class coach wenye historia ya kubeba makombe katika ushindani mkubwa.
Ukitaka kuamini hakuna kocha hapa , team nzima sasa hivi inaonekana kama genge la wahuni hata james,chilwel, hata new signing sahiv zinaonkana ni average.

Hakuna kocha hapa, kocha anashindwa kuwamotivate wachezaj.

Hamna game iliyoniuma kama ya soton, halaf anakwambia soton walikuwa wamejiandaa vizuri huku soton wenyewe wamefukuza kocha masaa 72 [emoji24][emoji24]


Game ya leeds n leicester tunajikuta katika mbio zakubak kweny league

Soon tutakuwa kwenye relegation process.
 
Huyu kocha hajajua tu... ni kwamba wachezaji WAMEMKATAAA... haiwezekani kwenye mechi 15 ukashinda 2 tu .... average na small teams zinakufunga while una world class players..haingii akilini kabisaaa inaezekana kuna watu wanampenda sana Tuchel bado, au amewaudhi sana na mgomo ni mkali

Potter ni coacher ila amekutana na wachezaji waliomkataa. Hakuna jinsi kwa namna hii team ilivyo mwarobaini ni aondoke tu. Kumbuka aliwahi kuondoka AVB akaja Di Mateo asie na chochote timu ikabeba UCL, akaja Avram Grant team ikafi final UCL.. huu utamaduni umeendelea na naona hauwez kufutika.

Hata kama matajiri hawataki.
 
Huyu kocha hajajua tu... ni kwamba wachezaji WAMEMKATAAA... haiwezekani kwenye mechi 15 ukashinda 2 tu .... average na small teams zinakufunga while una world class players..haingii akilini kabisaaa inaezekana kuna watu wanampenda sana Tuchel bado... Au amewaudhi sana na mgomo ni mkali .... Potter ni coacher ila amekutana na wachezaji waliomkataa... Hakuna jinsi kwa namna hii team ilivyo mwarobaini ni aondoke tu... Kumbuka aliwahi kuondoka AVB akaja Di Mateo asie na chochote timu ikabeba UCL.. akaja Avram Grant team ikafi final UCL.. huu utamaduni umeendelea na naona hauwez kufutika... hata kama matajiri hawataki..
Hata mimi nimeliona hilo, wachezaji wamemuona hatoshei wakaamua kumgomea ili aletwe kocha anayejua kufundisha
 
Huyu kocha hajajua tu... ni kwamba wachezaji WAMEMKATAAA... haiwezekani kwenye mechi 15 ukashinda 2 tu .... average na small teams zinakufunga while una world class players..haingii akilini kabisaaa inaezekana kuna watu wanampenda sana Tuchel bado... Au amewaudhi sana na mgomo ni mkali .... Potter ni coacher ila amekutana na wachezaji waliomkataa... Hakuna jinsi kwa namna hii team ilivyo mwarobaini ni aondoke tu... Kumbuka aliwahi kuondoka AVB akaja Di Mateo asie na chochote timu ikabeba UCL.. akaja Avram Grant team ikafi final UCL.. huu utamaduni umeendelea na naona hauwez kufutika... hata kama matajiri hawataki..
Sasa kocha huna mentality ya kushinda we ukifungwa uko the lads gave everything, that is life,

Mara unasema wewe sio tatizo, yani umekaa tu makosa yamatokea uwanjan hata kumconfront 4th official huwezi unategemea nini.

Potter anaweza kuwa ni kocha mzuri ila kwa Chelsea ni too big for him, ni kama Moyes alivyoenda Man United
 
Simeone akija wakina James na silva watakua wanakula umeme kila mechi ni kocha mwenye mbinu hovyo kwelikweli
Ukisema mbinu mbovu utakuwa unamuonea, anayo achievement kubwa kuliko hii ya Potter.

Tatizo lake ni mfahidhina kwenye style of playing na mbinu. Rigid kama Mzee Sarri, kama MOU, Kama Guardiola na wengineo. Kwa sehemu hiyo rigidity imemletea faida, kabeba makombe. Kashinda ubingwa wa ligi ya Argentina akiwa na River Plate na Estudiantes. Kashinda pia Laliga 2, Copa De larey, Europa mara 2, UEFA super cup 2, Fainal za UCL mara 2. Hayo kwangu ni mafanikio makubwa sana ukichukulia yuko kwenye timu isiyoweza kununua wachezahji wa caliber kama Real Madrid na Barcelona

Diego Simeon won the Argentine Primera División both with Estudiantes and River Plate and has had his biggest managerial success with Atlético Madrid, winning La Liga twice, the Copa del Rey, two UEFA Europa Leagues, two UEFA Super Cups, as well as being runner-up of the UEFA Champions League twice.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom