42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Hana akili huyu kenge....
Hakun Mmiliki wa kuinvest hela nyingi vile halafu ukae unavumilia hii talataka. Ni upuuzi.
Hana akili huyu kenge....

Enzo Ndugu yako kapotelea wapi au naye kawa Shabiki maandazi na kuhamia timu kubwa nyingine kwa mkopo?Nimefurahi hakupewa red card kama angepata huyu kocha angetukia Hilo chaka kujifichia utumbo wake lembu juan david dah msimu tuimba lugha Moja huyu kocha anatudhalilisha

Nimelala tangu jana 22:17 PM na kuamka 06:06 AM kwa ndoto mujarabu kabisa

Labda Wamiliki wana bifu na TT, nani ajuaye?Staki kuamini kama tuchel angefukuzwa ndani ya game 7 tu Roman hajawah fanya ushenzi wa hivyo.
Hatukuwa vibaya kama sasa wakat tuchel anaondoka.


BREAKING NEWS.......SIKU MKIPATA TAARIFA INAYOANZA NA
Breaking news / Team statement
Naomba mnitag nikamwagilie moyo. Haiwezekani tangu january mosi tumefurahi mara moja tu huku tukilia karibu mara kumi

Umejuaje? Tena nifungulie mziki mnene.Tuna imani na potter

Wachezaji wa Chelsea tangu TT aondoke;."The boys gave everything" hiki ni kina bahari kwenye shairi la mtunzi maarufu Graham Potter kwenye shairi lake la "Trust the process"
Walikurupuka kabisa kumfukuza TT na kutuletea Chuck Norris, ni dhahiri nafsi zinawasuta lakini wanafichaje hii aibu sasa?Kitu boehly na wenzake inabidi wajifunze hii ni football na si baseball, Bila right coach huwezi toboa hata kama umenunua wachezaj wa bei ghal n talented ila bila kuwa na right coach hiyo ni kazi bure
Baseball unapata matokeo bila haya kuwa na kocha mzuri ila kwenye football nitofauti
Bado hajafukuzwa tuHuyu ni mtu ana familia kuweni na huruma watoto wake watakula wapi?
Mpeni muda #PotterInView attachment 2530828


Hizo ndizo tabia za PROCESS lazima tuiamini hiyo processWachezaji wa Chelsea tangu TT aondoke;.
1. Ronyo ronyo kama hawafanyi mazoezi ya nguvu ya viungo vya miili.
2. Wananyang'anywa mipira kizembe.
3. Hawana mawasiliano mazuri uwanjani ( football chemistry ).
4. Hawajitumi kabisa kama wachezaji wa Man Utd na New Castle Utd jana kwenye fainali ya carabao cup.
5. Hawana morali.
6. Wamepoteza winning mentality.
7. Hawajui wanachokifanya kwa kutokuwa na formation ya kueleweka.
8. Wana uhakika wa kuendelea kuwepo Chelsea FC kwa sana sababu lawama atabebeshwa Kocha Mkuu HP.
Enzo yupo busy Sana kwenye majukwaa ya watuEnzo Ndugu yako kapotelea wapi au naye kawa Shabiki maandazi na kuhamia timu kubwa nyingine kwa mkopo?
Tulizoea kumwona akichachafya hapa hata kwa Kindengereko ikiwa Kocha yeyote ataharibu![]()
Potter ni mid table type of a coach.Ukimfukuza kocha mwenye C.v ya UCL, Lete kocha mwingine wa caliber hiyo.
Ukimfukuza kocha wa makombe, lete kocha wa makombe.
TODDY unamfukuza TT, anatuletea kocha mwenye mafanikio ya kufuga ndevu.
Dortmund wanakuja kumchanua mapaja Potter hapo Stanford Bridge na Uwezo wa kumaliza top 4 hatuna.
TODDY aombe ushauri kwa Mtangulizi wake Roman, Toddy aache kukaza hilo likichwa lake likubwa kama transforma. View attachment 2531361
Kama kocha mwenyewe tu yupo na loser mentality unategemea wachezaj watafanya niniWachezaji wa Chelsea tangu TT aondoke;.
1. Ronyo ronyo kama hawafanyi mazoezi ya nguvu ya viungo vya miili.
2. Wananyang'anywa mipira kizembe.
3. Hawana mawasiliano mazuri uwanjani ( football chemistry ).
4. Hawajitumi kabisa kama wachezaji wa Man Utd na New Castle Utd jana kwenye fainali ya carabao cup.
5. Hawana morali.
6. Wamepoteza winning mentality.
7. Hawajui wanachokifanya kwa kutokuwa na formation ya kueleweka.
8. Wana uhakika wa kuendelea kuwepo Chelsea FC kwa sana sababu lawama atabebeshwa Kocha Mkuu HP.
Nah, hakuna process ya hivi, 5 months now hatuna improvement yoyote.Hizo ndizo tabia za PROCESS lazima tuiamini hiyo process
Kama kocha bado ni Potter kusingekuwa na maajabu,.Ishu sio kushindwa kutengeneza nafasi
Ishu ni timu kushindwa kufunga magoli kabisa.
Mechi ya jana 2nd half sijui kama tulifanya attempt ya maana kwenye goli la totte.
Paparazi STERLING anachezea nafasi kibao za kufunga magoli.
Harvetz slow motion baller.
Mudryk, Ziyech, Mount, Jao sio wafungaji wa mara kwa mara.
Kiufupi pamoja na usajili tuliofanya, bado hatuna wafungaji wa caliber ya juu
Ndio maana jana nili imagine tungekuwa na wakina Hazard, Willian na Costa kwenye ubora wao timu hii hii ya Potter ingefunga magoli kibao mbona.
-------Costa-------
Hazard--Jao-- Willan
----- Kante--- Enzo----
Chil-- Kolib -Fofana -James
Na ndugu yake Papaa GX aliyekuwa anamtaka PotterEnzo Ndugu yako kapotelea wapi au naye kawa Shabiki maandazi na kuhamia timu kubwa nyingine kwa mkopo?
Tulizoea kumwona akichachafya hapa hata kwa Kindengereko ikiwa Kocha yeyote ataharibu![]()


