juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Chance ya kupunguza point na top 4 tulikuwa nao ila uwepo wa Potter ni kikwazo kwetu n now top 4 ndio basi tena , na sioni tukienda mbalo uefa zaidi ya kutolewa na Dortmund mechi ijayo.
Game inayofat ni vs Leeds then Dortmund hapa sioni tukitoboa
Game inayofat ni vs Leeds then Dortmund hapa sioni tukitoboa




