Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukimfukuza kocha mwenye C.v ya UCL, Lete kocha mwingine wa caliber hiyo.

Ukimfukuza kocha wa makombe, lete kocha wa makombe.

TODDY unamfukuza TT, anatuletea kocha mwenye mafanikio ya kufuga ndevu.

Dortmund wanakuja kumchanua mapaja Potter hapo Stanford Bridge na Uwezo wa kumaliza top 4 hatuna.

TODDY aombe ushauri kwa Mtangulizi wake Roman, Toddy aache kukaza hilo likichwa lake likubwa kama transforma. View attachment 2531361

Jana nilikua napiga story mbili tatu na Ten hag, katikati ya maongezi nikachomekea swali amejiandaa vipi kukabiliana na ubora na uimara wa timu ya Chelsea?
Ten Hag ndio akafunguka akasema ile kauli yake ya "End of an era" pia ilikua inawahusu Chelsea ila alighafilika kuwataja kwenye ile press conference.
 
Ishu sio kushindwa kutengeneza nafasi

Ishu ni timu kushindwa kufunga magoli kabisa.

Mechi ya jana 2nd half sijui kama tulifanya attempt ya maana kwenye goli la totte.

Paparazi STERLING anachezea nafasi kibao za kufunga magoli.

Harvetz slow motion baller.

Mudryk, Ziyech, Mount, Jao sio wafungaji wa mara kwa mara.

Kiufupi pamoja na usajili tuliofanya, bado hatuna wafungaji wa caliber ya juu

Ndio maana jana nili imagine tungekuwa na wakina Hazard, Willian na Costa kwenye ubora wao timu hii hii ya Potter ingefunga magoli kibao mbona.

-------Costa-------

Hazard--Jao-- Willan

----- Kante--- Enzo----

Chil-- Kolib -Fofana -James
Sasa huyo aliyetoa hayo maoni alikuwa ni striker wa Chelsea 200-2004 na hiyo nafasi anaifahamu kweli kweli. Ila kwa upande mwingine mimi naamini kuna kitu kinaendelea ndani ya Chelsea na hicho kitu kinaelekea kuwa ni baadhi ya wachezaji wa zamani kutoridhika na wanaendelea kuiambukiza sumu dressing room.
 
Nah, hakuna process ya hivi, 5 months now hatuna improvement yoyote.
Area ipi tumeimprove,

Ni rahisi sana sasahivi kucheza na sisi hii yote ni kwa sababu ya kocha tulie nae anahisi Chelsea ni kama Brighton, ndio maana press conference zake ni za hovyo
Kwa timing yao hawakuweka miezi mitano, wameweka msimu ujao ndio timing ya kupima hiyo process

NO WAY lazima tuwe wapole tu. mabosei wameshasema hivyo
 
Nasikia kuna vipanya wansubiriwa na Boehly mwezi wa saba tu ikifika watimuliwe wamejazana dressing room kwa hasara
 
Kwa timing yao hawakuweka miezi mitano, wameweka msimu ujao ndio timing ya kupima hiyo process

NO WAY lazima tuwe wapole tu. mabosei wameshasema hivyo
Siku wakishtuka itakuwa too late.

Kocha amejiunga tuko kwenye game ya 6 ndani ya msim hata katikat mwa msim bado.

Ukitoa 10pts alizopata Tuchel katika michezo 6 ya mwanzo

Potter katika 18 games kapata 21pts hii ni performance ya midtable team
 
Kinacho nishangaza kwa huyu potter n kung'ang'ania mfumo ambao uouo unaonekana kutoeleweka kwa wachezaji yani unatoka kupoteza gem3 alaf bado umeukumbatia mfumo ambao tunaona n kila mchezaji anacheza kivyake ameshndwa kujarib mifumo alioikuta ata ya bek3 au kueka viungo wa3.

Yaan james ckuiz unamuona kama ajui chilwell ivoivo ata kante atarud na bado tutabak kuwa wabovu kwa uyu kocha aliekariri maisha ya brighton na kuyaleta darajan amebaki kama mjinga yan kuna mda adi sisi washabki tunaona wapi kunapwaya ndo mana mpaka saivi hana first eleven.
 
kinacho nishangaza kwa huyu potter n kung'ang'ania mfumo ambao uouo unaonekana kutoeleweka kwa wachezaji yani unatoka kupoteza gem3 alaf bado umeukumbatia mfumo ambao tunaona n kila mchezaji anacheza kivyake ameshndwa kujarib mifumo alioikuta ata ya bek3 au kueka viungo wa3 yan james ckuiz unamuona kama ajui chilwell ivoivo ata kante atarud na bado tutabak kuwa wabovu kwa uyu kocha aliekariri maisha ya brighton na kuyaleta darajan amebaki kama mjinga yan kuna mda adi sisi washabki tunaona wapi kunapwaya ndo mana mpaka saivi hana first eleven
Na isitoshe potter huyo huyo kaachana na mfumo aliokuwa nao Brighton

Kwenye game ndio mda wa kufanya majaribio,ashaona kitu hichi hakifai o hakileti result why uendelee kukomalia hicho hicho.
 
Kwa ninavyojua mimi Rudiger hakugoma kubaki ni chelsea ndiyo ilimkataa jamaa

Additional ya defenders ilifanya muwe na defenders almost 8 mpaka 11 nafikiri. Tuchel believes kwenye compactness kwenye defense so it is understandable.

Ila katika hizo games tayari alishaonyesha kwamba timu ina shida
Tuchel hawezi kuwa sawa na Potter hata siku moja, naona unajaribu kuaminisha watu kuwa hata Tuchel angeshinda mechi mbili kati ta 17.

Kwa hiki kikosi, atleast Tuchel angekuwa anaisogelea top 4, sio kuwa mbali hivyo.
 
Na isitoshe potter huyo huyo kaachana na mfumo aliokuwa nao Brighton

Kwenye game ndio mda wa kufanya majaribio,ashaona kitu hichi hakifai o hakileti result why uendelee kukomalia hicho hicho.
yani analazmisha vitu asivyoviweza saiv tunae ma wingback kwann tuwatumie kama ma fullback sehem nyingne ni kiungo kwann apendi kutumia viungo wa3 mana ukiangalia game kama zote tunafunikwa kwenye kiungo kama jana ilkua pasi mbili tu tot walkua tayari golin ila unajiulza n kipi kocha aoni
 
adi saudi media wameliona ilo
20230227_150825.jpg
 
Ngumi aliyotandikwa Emerson Royal


Waweza ona utani ila ni kweli.

Mara nyingi timu ikiwa hovyo kabisa hata umoja wa wachezaji unakua haupo.

Msimu huo Arsenal tunacheza na West Brom nafikiri, kuna mchezaji akadive wakagewa penati mwishoni mwa mechi Tierney akamkimbilia yule mchezaji ili ampige Xhaka akawa anamzuia Tierney.

Legend mmoja wa Arsenal akasema timu iko hovyo pale ilitakiwa Xhaka amsaidie Tierney kumpiga jamaa. Ila siku hizi unaona mchezaji wa Arsenal akiangushwa kuna crew inasogea yote, sometimes hadi kipa anakuja
 
Sijui huyu tajiri malengo yake ni yapi na huyu kocha maana mashabiki tumeshachoka kabisa kuona haya matokeo mabovu kila mechi

Kibaya zaidi huyu tajiri ana kiburi maamuzi yake hayataki yapigwe hii bodi ya timu ipo kama gelesha vile aina maamuzi yoyote tajiri yeye ndo kila kitu

Namkumbuka sana Abramovich yeye alikuwa ana mapenzi makubwa sana na timu akitua tu Cobham akikaa na Peter kenyon na Marina baasi hapo kocha hana kazi sasa huyu Todd kiazi kabisa anaendesha timu kwahisia zake kila siku yupo mazoezini na uwanjani lakini hakuna jipya lolote analofanya hawa wamarekani wamekuja kutuharibia hii kwa kweli mafanikio tusahau kwa hali hii
 
Tufungwe na leeds Tufungwe na dortmund tufike relegation zone kabisaa kocha kila match unacheza ovyo bado unasifia wachezaji
Mentality ya kijinga sana ifike stage mashabiki wasiende uwanjani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom