Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tukubali tu Potter sio mtu sahihi, hakuna vya trust the process hapa.

Mtu tangu mwezi wa 9 mwanzon mpk leo hii hakuna chochote kinachoonekana.

Arteta, ndani ya miez 5 tu alikuwa na FA Cup huku akizifunga City n Chelsea , baadae akachukua Community Shield kwa kumfunga Liverpool.

Sasa Potter tangu 12 september 2022 yuko hapa ila hakuna chochote kinachoonekana zaidi ya kujificha kwenye kivuli cha majeruhi,yeye hausiki na matatizo why hataki kuadmit yeye ndio mwenye shida.

Mbona makocha wengine huwa wanaadmit pale wanapokosea ila yeye hataki.


Boehly kiburi chake ndio kinatufanya tupitie hii hali. Hata kule Brighton hakuna msim aliomaliza ndani ya top 6 hakuna zaidi ya msim huu kuanza vizuri tu .

Mtu unamiez 5-6 sasa ila hakuna area yoyote uliyoimprove zaidi ya kuonekana kama team mbovu.
Tutakuwa na matarajio yakila majerehi arudi ila ukweli ni hata warudi wote bado hatutoimprove.

Saiv tutaman kante arudi ila hata kante akirudi bado hali itakuwa ile ile.

Tatizo ni Potter.


#Potter Out
 
Potter 🔥🔥🔥
IMG_20230226_185203.jpg
 
Commentator Townsand anamwaga point.

Anasema kila mechi Potter anafanya rotation sio chini wa wachezaji 6.

Anatakiwa achague 1st eleven yake, ambayo atastick nayo kwenye kuifanyia maboresho na kupata matokeo

Ametoa mfano wa Arteta na Arsenal
A winning team huwa haibadilishwi ila kwa potter game hii wamecheza vizuri wiki ijayo anafanya mabadiliko.

Tukubaliane tu Potter sio mtu sahihi.
 
Tuchel msimu ulivyoanza na yeye alikua anastruggle.

Mashabiki wengi hamkumbuki hilo, mnakumbuka trophies alizozileta kwa kipindi kifupi. Nakumbuka Tuchel alistruggle mpaka Terry akasema anatamani apate kazi Chelsea na timu yake itakua na back four ikiwa ni dongo kwa Tuchel

Na ni kipindi hicho akasema matatizo ya chelsea ni yale yale kwakua ana watu walewale. Boehly akaingia mfukoni kilichofuata ni Tuchel kusaini mabeki wengi miongoni mwao ni Koulibaly.

Ndiyo maana mimi naamini hata Tuchel angekuepo Chelsea pengine isingekua hapa ila isingekua ile iliyosumbua UEFA na Ligi
Hizo ni mechi 7 tu za mwanzo wa msim tena katika all competition. Hata half ya mechi zote tulikuwa hatujafika.
 
Hatimae

Breaking News!

GRAHAM POTTER STEP DOWN

Chelsea manager has finally stepped down. It has just been announced on Blue Sky news. He stepped down from his car in front of his office to continue his office task.

He is such a hardworking Man.

Thanks you for your attention!!
 
Tuchel msimu ulivyoanza na yeye alikua anastruggle.

Mashabiki wengi hamkumbuki hilo, mnakumbuka trophies alizozileta kwa kipindi kifupi. Nakumbuka Tuchel alistruggle mpaka Terry akasema anatamani apate kazi Chelsea na timu yake itakua na back four ikiwa ni dongo kwa Tuchel

Na ni kipindi hicho akasema matatizo ya chelsea ni yale yale kwakua ana watu walewale. Boehly akaingia mfukoni kilichofuata ni Tuchel kusaini mabeki wengi miongoni mwao ni Koulibaly.

Ndiyo maana mimi naamini hata Tuchel angekuepo Chelsea pengine isingekua hapa ila isingekua ile iliyosumbua UEFA na Ligi
Tuchel alinunua mabeki wangapi kama sio 3, Je Tuchel alipoteza mabeki wangapo waliondoka free au hamkutaka areplace pengo la Rudiger na Christiansen.
Siku mnajificha kwenye kivuli cha kununua mabeki wengi summer wakat mnasahau mabeki wangapi wameondoka summer umempoteza Rudiger n Christiansen hamtaki areplace hao???

Tuchel ameondoka huku tumecheza gane 7 all compitition. Katika league tulikuwa tumecheza game 6, 3wins 1 draw 2 loses,


Asante kwa kuadmit kuwa hata angekuwa tungestrugle ila sio kuwa hapa tulipo.

Unahisi tuchel angekubali vipigo vya kila siku katika game 17 ushinde tu game 2????
 
Kitu boehly na wenzake inabidi wajifunze hii ni football na si baseball, Bila right coach huwezi toboa hata kama umenunua wachezaj wa bei ghal n talented ila bila kuwa na right coach hiyo ni kazi bure

Baseball unapata matokeo bila haya kuwa na kocha mzuri ila kwenye football nitofauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom