Nature
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 916
- 2,422
Kipindi hicho lilikuwa haliitwi carabao lilikuwa linaitwa Carling Cup...lilikuwa na heshima yakeKipindi hicho Carabao lilikuwa bonge la kombeView attachment 2531939
Kipindi hicho lilikuwa haliitwi carabao lilikuwa linaitwa Carling Cup...lilikuwa na heshima yakeKipindi hicho Carabao lilikuwa bonge la kombeView attachment 2531939
Hapo ndio mjue nafasi ya kocha, wachezaji woote hao wazuri kashindwa kuchanganya karata vizuriKweli mipango sio matumizi.View attachment 2531874
Hawa matajiri wanampendelea kocha ambaye ni kibaraka wao (PUPPET) akiambiwa loftas cheek aanze anamuanzisha. Akiambie leo tucheze 2-4-4 anaweka hata bila kuangalia madhara yake. Kocha wa NDIO BOSI zidumu fikra zako daimaPia mkae mkijua ishu sio POTTER kufukuzwa.
Ishu ni atakuja kocha yupi baada ya Potter?
Je tajiri ana mpango wa kuajiri world class coach?
Usishangae tukaletewa babu Ralf RangnickView attachment 2532238
wachezaji nao wanakua wa hovyo kama kocha wao, goli la pili la spars, mount alifanywa ngazi halafu alitulia kama hajafanyiwa chochote, wakati nahis ile ilikua faulo, kama goli la Trossard lisingekataliwa kama sio yule goli kipa kulalamika.Waweza ona utani ila ni kweli.
Mara nyingi timu ikiwa hovyo kabisa hata umoja wa wachezaji unakua haupo.
Msimu huo Arsenal tunacheza na West Brom nafikiri, kuna mchezaji akadive wakagewa penati mwishoni mwa mechi Tierney akamkimbilia yule mchezaji ili ampige Xhaka akawa anamzuia Tierney.
Legend mmoja wa Arsenal akasema timu iko hovyo pale ilitakiwa Xhaka amsaidie Tierney kumpiga jamaa. Ila siku hizi unaona mchezaji wa Arsenal akiangushwa kuna crew inasogea yote, sometimes hadi kipa anakuja
Bora hata huyo angalau alishamfundisha kloppo ukocha.Pia mkae mkijua ishu sio POTTER kufukuzwa.
Ishu ni atakuja kocha yupi baada ya Potter?
Je tajiri ana mpango wa kuajiri world class coach?
Usishangae tukaletewa babu Ralf RangnickView attachment 2532238
Pia mkae mkijua ishu sio POTTER kufukuzwa.
Ishu ni atakuja kocha yupi baada ya Potter?
Je tajiri ana mpango wa kuajiri world class coach?
Usishangae tukaletewa babu Ralf RangnickView attachment 2532238
Kutoelewa maswala ya mpira ndio kunamkosti huyu tajiri akifikiria ule mkataba wa miaka 5 aliompa na ile realese ya pound mil 20 aliyolipa kule Brighton anachanganyikiwa kabisaDar Matajiri wamesema kuliko wamfukuze Potter, bora wauze club.
Nadhan mechi 2 zijazo zitatoa taswira.Kutoelewa maswala ya mpira ndio kunamkosti huyu tajiri akifikiria ule mkataba wa miaka 5 aliompa na ile realese ya pound mil 20 aliyolipa kule Brighton anachanganyikiwa kabisa
Ukimfukuza kocha mwenye C.v ya UCL, Lete kocha mwingine wa caliber hiyo.
Ukimfukuza kocha wa makombe, lete kocha wa makombe.
TODDY unamfukuza TT, anatuletea kocha mwenye mafanikio ya kufuga ndevu.
Dortmund wanakuja kumchanua mapaja Potter hapo Stanford Bridge na Uwezo wa kumaliza top 4 hatuna.
TODDY aombe ushauri kwa Mtangulizi wake Roman, Toddy aache kukaza hilo likichwa lake likubwa kama transforma. View attachment 2531361
Karundikiwa wachezaji na tajiri miluzi, afanyaje sasa?Kinachomponza Potter ni mtu anayependa trial n error kila game, hakuna hata game 3 mfululizo team kikosi kile kile kimecheza pamoja katika mechi zinazofatana.
Kila game ni kama tunaanza upya.
Na wachezaji wa tajiri miluzi wote miaka 5+-.Kutoelewa maswala ya mpira ndio kunamkosti huyu tajiri akifikiria ule mkataba wa miaka 5 aliompa na ile realese ya pound mil 20 aliyolipa kule Brighton anachanganyikiwa kabisa
Chagua wachezaj wako unao ona wanafaa,.Karundikiwa wachezaji na tajiri miluzi, afanyaje sasa?




Kuna watu wana zali.
Itakuwa hivyo, hata timu kama Man City walikuwa wanaleta wachezaji kwa matakwa ya Pep.Ina maana hao wachezaji aliorundikiwa hakuwahitaji?
Kama aliletewa wachezaji wengi hivyo bila matakwa yake kuna haja ya Potter kupewa muda zaidi.