Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hali ya mmiliki wa Chelsea

20230226_211219.jpg


Hali ya mashabiki

 
Na leo mmeliwa tena hii timu imekuwa kama demu malaya kila mtu anajipigia
 
Southamton na Spurs ni timu mbovu kwa sasa na bado wamezifunga Chelsea
Huyu kocha ni zuzu kuwahi kuifundisha Chelsea
Wamuondoe kabla mashabiki majinga hayajamvizia kumpiga na kumuumiza kwa sababu inakasirisha sana
 
Ila Roman alikuwa na akili sana.

Roman alikuwa anaajiri kocha world class ambaye alikuwa akiingia kwenye timu na mafanikio yake, mbinu na mifumo lazima timu ibebe kombe.

Kocha akishazoewa na wachezaji kupelekea kupata matokeo mabovu. Roman alifukuza kumleta kocha mwingine world class.

Naamini Roman angekuwepo mpaka sasa, angemfukuza TT baada ya kubeba UCL na angemleta kocha mwingine ungekuta sasa hivi tupo kwenye mbio za ubingwa EPL.

Binafsi sipendi hiyo kitu inaitwa kujenga PROJECT kupitia kocha mmoja kwa muda mrefu.

TODDY BOEHLY asituchanganye arudishe timu yetu kwenye misingi ya kocha mpya kila msimu na kubeba kombe kila msimu.
Staki kuamini kama tuchel angefukuzwa ndani ya game 7 tu Roman hajawah fanya ushenzi wa hivyo.
Hatukuwa vibaya kama sasa wakat tuchel anaondoka.
 
Southamton na Spurs ni timu mbovu kwa sasa na bado wamezifunga Chelsea
Huyu kocha ni zuzu kuwahi kuifundisha Chelsea
Wamuondoe kabla mashabiki majinga hayajamvizia kumpiga na kumuumiza kwa sababu inakasirisha sana
Kama game ya Southampton hii ndio kila mtu hataki kukubali. Yani kulikuwa hakuna excuse ya sisi kutopata matokeo
 
SIKU MKIPATA TAARIFA INAYOANZA NA


Breaking news / Team statement


Naomba mnitag nikamwagilie moyo. Haiwezekani tangu january mosi tumefurahi mara moja tu huku tukilia karibu mara kumi
Iyo hapo mkuu

Breaking News!

GRAHAM POTTER STEP DOWN

Chelsea manager has finally stepped down. It has just been announced on Blue Sky news. He stepped down from his car in front of his office to continue his office task.

He is such a hardworking Man.

Thanks you for your attention!!
 
Kocha atakayefuata atapewa mkataba usiozidi miaka miwili ila nina wasiwasi atakuwa Purppet kuliko Potter na huyo kocha sio katika hao wanaotajwa kwenye media
 
Thiago Silva amepatwa na majeruhi ya goti. Majeruhi haya kama ni serious inachukuaga 3-6 months. Hawa hawa Spurs ndio walimpeleka Kante kitandani tangu mwezi wa Nane mwaka jana na ni miezi takriban 7 sasa
 
Kwa ninavyojua mimi Rudiger hakugoma kubaki ni chelsea ndiyo ilimkataa jamaa

Additional ya defenders ilifanya muwe na defenders almost 8 mpaka 11 nafikiri. Tuchel believes kwenye compactness kwenye defense so it is understandable.

Ila katika hizo games tayari alishaonyesha kwamba timu ina shida
Tukubali tukatae, Tuchel ni mzuri kuliko hii takataka tuliyonayo sasa.

Angalia match tulizoshinda na Tuchel angalia kikosi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom