Ni mchezaji wa kawaida sanaNaomba mwenye stat. Za Bellingham Vs Enzo kw game ya jana. Mana nilikua naona huyo overrated bellingham anawaambia washabik muda wote washangilie kama vile alikua anaupga mpira mkuuuubwa, wkt nimeona kacheza kawaida tu.
Kuna case mbili hapaUlitegemea afanyaje? Na mtu ashampita foul yoyote pale ilikuwa red card. Na hii ingeturudishq nyuma zaidi.
Adeyemi ana pace kuliko enzo.
Hata professional foul angecheza isingekuwa na madharaKwann unawaza kwamba angecheza foul.?
N kwann tumekariri mazingira kama yale ni lazima mtu acheze foul.?
Kwan mtu hawezi kucheza vzr na kuuchukua mpira.?
Yn kutoka katikati ya uwanja mpaka golini, mchezaji mwenye thamani kubwa kama Enzo anashindwa kujua mbinu ya kuuchukua mpira kwa njia salama.?
Tuache kukariri wakuu.
N kweli kabisa, tatizo letu tunaona mchezaji akiwa kwenye mazingira yale n lazima acheze rafu na kupewa kadi nyekunduHata professional foul angecheza isingekuwa na madhara
Ila mimi naamini shinikizo litamuondoa tu Potter asipojirekebisha maana naona kama vile hajali hata matokeo yakiwa mabayaMaboss ndio wameamua,
Hiring Potter ilikuwa ni mistake toka mwanzo. Now hawatak kuamin kama ilikuwa ni mistake labda atuprove wrong.
Tunaweza kuwa na long term project ila short term result nazo zinahitajika.
Good manager siku zote huwa
Anahakikisha wachezaj wanaadapt mfumo wake katika kipindi kifupi.
Kuhakikisha wachezaji wanamaintain mfumo wake katika kipindi kirefu.
Kwa aina wachezaj tulionao Enrique ni chaguo bora kwa sasa..
Potter ni kama AVB![]()
Unakuta unajisifia wachezaji wangu wako vzr halafu upo mkiani hukoooooooooMourinho huyo katoa nenoView attachment 2519797

Juzi kwenye ucl alikimbizwa mpaka nlimuonea huruma.Eddy Kenzo. Chezaji la £107m.
Sio Kocha, ni Mbeba mizigo si ndio maana ya PotterMna hakika huyo ni coacher kweli?![]()
Yeye ndio alikuwa mtu wa mwisho.... Any foul ni umeme tu pale....Hata mimi namlaumu hapo, ajifunze tactical foul, ndicho kilichotakiwa hapo, anakulka njano yake moja lakini kaokoa jahazi