Najua hayupo kikosi cha UEFA. Kama angeanza kumuamini toka mechi za ligi angempeleka UEFA. Kai anahitaji msaada na kumpanga kila mechi sio kumsaidia anazidi kumuongezea pressure tu. Mfano mechi ya ligi dhidi ya West Ham Datro alikua bench na hakuingia kabisa.Hayupo kikosi cha UEFA, we ulitaka ampangaje?
Lawama itakuwepo kwenye set pieces hakuna mbinu kabisaSiwez mlaum potter leo, kama ni chance za kuscore tumepata ila tumeshindwa.
Tumecreate chance nyingi zakufunga ila tumeshindwa.
Datro not in UEFA list wandugu, mbona tunarudia rudia hii mada?Halafu kwa nini hamuweki Datro Fofana aisee , Havertz ana quality gani ya kucheza 90 minutes ?
Kai sio aggressive kabisa, sasa hivi ndio anazidi kuwa legelege, hata huyo Fofana anamzidi agresivenenss kwa mbali sanaNajua hayupo kikosi cha UEFA. Kama angeanza kumuamini toka mechi za ligi angempeleka UEFA. Kai anahitaji msaada na kumpanga kila mechi sio kumsaidia anazidi kumuongezea pressure tu. Mfano mechi ya ligi dhidi ya West Ham Datro alikua bench na hakuingia kabisa.
Hii sio kwa Havertz peke yake wachezaji wote wanao under perform kama Cucurella na RLC ikiwezekana wapewe day off psychologically ni msaada kuliko kuwarundikia mechi nyingi na wanazidi ku underperform.
Kwani nyie mmeachwa. Sijawahi kumuona binadamu na akili zake sawa anaacha msiba wake anaenda kwenye misiba ya wenzakeKuna watu wamepigwa tena jamani amkeni amkeni amkeni wamefungwa tena![]()
Hata mimi namlaumu hapo, ajifunze tactical foul, ndicho kilichotakiwa hapo, anakulka njano yake moja lakini kaokoa jahaziIla alichokifanya Enzo 😂
Anamsindikiza adui kutoka katikati ya uwanja mpaka golini 😂 na jamaa anafunga 😂

Wee nyamaza!Makubwa jinga wengine hawa hapa![]()
AsalamalekooWee nyamaza!
Sir Alex Ferguson time anaanza kazi MANCHESTER United alikutana na vipigo 9 mfululizo na droo 15 mfululizo......kujenga tunu sio kitu chepesi labda mpate kocha kama Ten hang au XaviMimi nilijua mapema ni kajisemea ebu ni tizame hu mpira wa Arsenal na Mancity huenda wakanipa faraja, jinsi nilivo kua napenda arsenal atoke kileleni kwenye table, na ni lifurahi sana baada ya hao kupoteza 3 - 1
Mimi simuamini huyu porter ni kujiumiza bure nakujipa matumaini ya kijinga eti, tumecheza vizuri sana japo tume lose, ni kama kujipa mwoyo, ila ukweli ni kwamba huyu porter hawezi kufikisha the blues popote is clueless, kwa wachezaji hao alio nao kocha ambao ni tactical anaweza akafanya maajabu na hiyo timu, endeleeni kujipa mwoyo ita fika mwisho hata Tody ata mfukuza bila kulazimishwa
Premier league ya Alex ferguson ni tofauti na ya sasa, nani atakusubilia ujenge timu yeye bila kujenga wa ulize arsenal amejena kwa miaka mingapi mpaka leo hawana wakika wa kubeba kombe, mkuu mpira hubadilika sasa hivu huyu furguson hata ukimleta hata kumaliza na fasi ya nne ni mtihani.Sir Alex Ferguson time anaanza kazi MANCHESTER United alikutana na vipigo 9 mfululizo na droo 15 mfululizo......kujenga tunu sio kitu chepesi labda mpate kocha kama Ten hang au Xavi
Kwann unawaza kwamba angecheza foul.?Ulitegemea afanyaje? Na mtu ashampita foul yoyote pale ilikuwa red card. Na hii ingeturudishq nyuma zaidi.
Adeyemi ana pace kuliko enzo.
Mtu aliyekuzid pace unategemea utauchukua mpira kama sio kucheza foul?Kwann unawaza kwamba angecheza foul.?
N kwann tumekariri mazingira kama yale ni lazima mtu acheze foul.?
Kwan mtu hawezi kucheza vzr na kuuchukua mpira.?
Yn kutoka katikati ya uwanja mpaka golini, mchezaji mwenye thamani kubwa kama Enzo anashindwa kujua mbinu ya kuuchukua mpira kwa njia salama.?
Tuache kukariri wakuu.
Mechi ijayo tunacheza na Southampton ambaye anashika mkia. Tutaendelea kujisifia kwa performance hivihivi mpaka tutakapotoa draw na Southampton tena.Datro hayupo kwenye kikosi cha UEFA, hakuna striker mwingine
Kwa game ya leo kakosea wapi?
Auba alitolewa kwenye kikosi cha uefa ili Tuweze ongeza wachezaj watatu.
Broja injury
Sterling injury
Datro hayupo kwenye kikosi cha UEFA.
Unahisi nani angecheza leo?
Tuangalie performance nzima ya team leo imecheza je tunaweza maintain hii performance au tunaweza improve zaidi ya hapa?.
Chance za Felix, goal line clearance siku zozote zile ni goal, cha muhim tukicheza hivi mechi ijayo tunashinda.
Kipi kilitufanya tufungwe hizo hizo fainal za Carabao n FA, na hata game ya Madrid kipi kilitufanya tufungwe? Issue ni ile kutotumia chance zetu vizuri..Mechi ijayo tunacheza na Southampton ambaye anashika mkia. Tutaendelea kujisifia kwa performance hivihivi mpaka tutakapotoa draw na Southampton tena.
Performance ije na matokeo, imeshindikana basi draw kwa game ya jana. Naomba nijibu hili swali mwaka jana kwenye UEFA tulicheza na Madrid darajani tulisimikwa goli 3-1 tulivyoe da Bernabeu tuliwaramba 3-1 tulienda kutoka kwenye extra time, sasa kwa namna unavyoiona Chelsea hii unahisi unahisi inaweza kutoa game tough kama ile? Tulikua na kikosi cha kawaida ila ilikuaje tukacheza fainali za Carabao na FA unadhani ilikuja kuja tu?
Kocha ana mchango mkubwa sana nje ya kupanga kikosi na kusimama kwenye touchline tuseme ukweli Potter anashindwa.
