Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

FpMP42EWYAECSIL
Huyu ni mtu tumsajili
 
Mimi siamni na sioni Victor Osimhen akija kutatua matatizo ya Chelsea
Tunahitaji proven natural striker ambapo Victor Osimhen hayupo kwenye hiyo orodha
Ni boara mara kumi tukamuamini Datro Fofana aje kusaidiana na Broja kule mbele kuliko kumnunua mchezaji ambaye yuko too mucha decorated and overrated kwa paundi 100M++

Pia ni heri Lukaku ajaribiwe kwenye hii system mpya labda lile tanki litafiti na kututatulia uhaba wa magoli kwa muda mfupi
Upo sahihi kabisa tuwape nafasi hawa wachezaji tuliokuwa nao kwanza kuliko kutupa pesa tena kwa striker
Shida iliyokuwepo ni kwa Potter kutowapa chance hawa wachezaji hasa kwa Fofana
 
Upo sahihi kabisa tuwape nafasi hawa wachezaji tuliokuwa nao kwanza kuliko kutupa pesa tena kwa striker
Shida iliyokuwepo ni kwa Potter kutowapa chance hawa wachezaji hasa kwa Fofana
Fofana ni kipaji na anakitu anacho, ila nashangaa sana sijui kwa nini hapewi nafasi, hata kutokea sub nafasi hapewi tunakalia kumkomalia yule mjeruman aliyekaa kama mlenda
 
Boehly mbona anawapenda sana masupastaa. Sasa Neymar wa nini, kuleta mzigo mwingine mkubwa badala ya kubaki na vijana wanaochipukia?
Neymar sio mzigo wewe,Team gn haimtk neymar duniani,
Ili ufanikiwe kwenye hayo makombe unahitaji wachezaji wazoefu kama huyo neymar
 
Neymar sio mzigo wewe,Team gn haimtk neymar duniani,
Ili ufanikiwe kwenye hayo makombe unahitaji wachezaji wazoefu kama huyo neymar
Mzigo nina maana umri na mshahara vs end product
Umri: 31yo
Mshahara: USD 700K/week
Nafasi anazocheza tayari tumejaza wachezaji hapo
Yuko Mudryk, Sterling,
Stats zake kwa miaka mitatu goal involvment hairidhishi sana
2019 (22)
2020 (19)
2021 (14)
2022 (19)

Kwa sifa hizo hapo juu, atakuja kutupotezea muda tu
Kama tunajenga nyumba imara ya nini kuwachukua hao
ambao wanachowaza sasa hivi ni pension tu
 
Mimi siamni na sioni Victor Osimhen akija kutatua matatizo ya Chelsea
Tunahitaji proven natural striker ambapo Victor Osimhen hayupo kwenye hiyo orodha
Ni boara mara kumi tukamuamini Datro Fofana aje kusaidiana na Broja kule mbele kuliko kumnunua mchezaji ambaye yuko too mucha decorated and overrated kwa paundi 100M++

Pia ni heri Lukaku ajaribiwe kwenye hii system mpya labda lile tanki litafiti na kututatulia uhaba wa magoli kwa muda mfupi
Lukaku ni wastage of time HAPANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom