Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Halafu kwa nini hamuweki Datro Fofana aisee , Havertz ana quality gani ya kucheza 90 minutes ?Mimi nitamlaumu kwa sababu haya matatizo anayataka mwenyewe. Yule dogo Datro ni mchezaji mzuri sana lakini hampi nafasi dogo anakula benchi na wadororaji wanaanza kila siku. Kipindi cha Tuchel kina Mount wakizingua mara mbili mechi inayofata anakula bench, hiyo inamsaidia mchezaji kujituma sasa huyu Potter anawakumbatia tu.
Huyu anatakiwa akae bench hata mechi mbili ya tatu atokee bench same kwa wachezaji wengine watajifunza. Yapo mambo mengi Potter anayokeraa
Najua hayupo. Nasemea mechi za ligiDatro hayupo kwenye kikosi cha UEFA, hakuna striker mwingine
Datro hayupo kwenye kikosi cha UEFA.Halafu kwa nini hamuweki Datro Fofana aisee , Havertz ana quality gani ya kucheza 90 minutes ?








Sad story kikosi cha Uefa, forward ni Havert pekee.Sure ,Felix Yuko poa Sana kufanya movement pale mbele moja kagongesha mwamba ,nyingine kupaisha . Tungekuwa tunaongeza 2-0 sasa hivi ,ngoja tuone second half itakuwaje ,game imebalance ,sijaona kama tumezidiwa sana ,sema kipindi cha pili kasi iongezwe . Havertz n kupooza mipira ,yaani ile akili yake haibadiliki ,apigwe benchi pimbi yule , sasa hivi ni forward quick movements na accuracy ndio wanatakiwa walifanyie kazi
Hayupo kikosi cha UEFA, we ulitaka ampangaje?Mimi nitamlaumu kwa sababu haya matatizo anayataka mwenyewe. Yule dogo Datro ni mchezaji mzuri sana lakini hampi nafasi dogo anakula benchi na wadororaji wanaanza kila siku. Kipindi cha Tuchel kina Mount wakizingua mara mbili mechi inayofata anakula bench, hiyo inamsaidia mchezaji kujituma sasa huyu Potter anawakumbatia tu.
Huyu anatakiwa akae bench hata mechi mbili ya tatu atokee bench same kwa wachezaji wengine watajifunza. Yapo mambo mengi Potter anayokeraa
Felix kakosa nafasi zaidi ya 5 hivi za wazi.Cheek hafai kurudi 2nd half, Enzo ni kama anafanya kazi ya watu wawili.
Felix dah sahiz ingefaa awe anaitafuta hat trick .
HT.0-0
COYB
Overall performance leo ilikuwa nzuri,
Tumetengeneza nafas za kufunga Felix misses, goal line clearance, etc
Felix ni kama ndio gundi kwa sasa kwenye team yetu.
Je tunaweza maintain performance ya leo tukaichukulia kama matokeo chanya na tukaenda nayo katika mechi zijazo?
Kama tukianza cheza vizuri kama leo na tukawa tunacreate chance basi matokeo positive tutaanza yapata.
Kazi iliyopo ni kuhakikisha tunamaintain hii performance huku tukiimprove kutokea hapa.
Chelsea’s last 15 games under Graham Potter…
8 losses
4 draws
3 winsMbona mm naona kapatia, em nionyeshe kosa hapoAliyetunga kachemsha hapo kwenye 9.75MBS
Tukisema hata aondoke nikazi bure kama wenye pesa bado wanamuona ni mtu sahihi na yupo katika mipango yao.Chelsea’s last 15 games under Graham Potter…
8 losses
4 draws
3 wins
Kwa records hizi bado mnajipa matumaini kweli na Potter
Ulitegemea afanyaje? Na mtu ashampita foul yoyote pale ilikuwa red card. Na hii ingeturudishq nyuma zaidi.Ila alichokifanya Enzo![]()
Anamsindikiza adui kutoka katikati ya uwanja mpaka golinina jamaa anafunga
![]()
Mm nmefurahi tulivofungwa ili kocha apigwe nyundo
Mimi nilijua mapema ni kajisemea ebu ni tizame hu mpira wa Arsenal na Mancity huenda wakanipa faraja, jinsi nilivo kua napenda arsenal atoke kileleni kwenye table, na ni lifurahi sana baada ya hao kupoteza 3 - 1Overall performance leo ilikuwa nzuri,
Tumetengeneza nafas za kufunga Felix misses, goal line clearance, etc
Felix ni kama ndio gundi kwa sasa kwenye team yetu.
Je tunaweza maintain performance ya leo tukaichukulia kama matokeo chanya na tukaenda nayo katika mechi zijazo?
Kama tukianza cheza vizuri kama leo na tukawa tunacreate chance basi matokeo positive tutaanza yapata.
Kazi iliyopo ni kuhakikisha tunamaintain hii performance huku tukiimprove kutokea hapa.