Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Premier league ya Alex ferguson ni tofauti na ya sasa, nani atakusubilia ujenge timu yeye bila kujenga wa ulize arsenal amejena kwa miaka mingapi mpaka leo hawana wakika wa kubeba kombe, mkuu mpira hubadilika sasa hivu huyu furguson hata ukimleta hata kumaliza na fasi ya nne ni mtihani.
Matajiri ndio waliotaka hivyo, Arsene Wenga alikuwa hapewi mshiko, kazi yake kubwa kukuza vifaranga. Tofauti na Chelsea kapewa mshiko wa kutosha.

Anyway, Mimi naamini Potter atakuja kuwa kocha mzuri ila tutahitaji kuvumilia sana, sio msimu huu wala ujao
 
Chelshit
Im out
Screenshot_20230211-221447.jpg
 
KAi mayai mayai halafu sio mjanja kutumia nafasi kule mbele kama Felix anavyofanya , jana kuna nafasi moja kati ametanguliziwa mpira mpaka kwenye box yeye yupo yupo tu mpaka lijamaa likampiga kikumbo na kumpora mpira ,ile ilikuwa ni chance ya yeye kuweka na kukaza ubavu na kutumia shuti au kuchop mpira kwenye net maana alikuwa kabaki na kipa
 
Kipi kilitufanya tufungwe hizo hizo fainal za Carabao n FA, na hata game ya Madrid kipi kilitufanya tufungwe? Issue ni ile kutotumia chance zetu vizuri..

Wakina Boehly-Eghbal bado wanaiman na Potter sisi huku tushapoteza imani kuendelea kupiga kelele mtu afukuzwe ni kazi bure huku maboss wake bado wanamuamini kwa sasa.
Potter alisign 5 yr kwa mkataba wenye thaman ya £60M so kama tunahisi ataondoka hiv karibun tusahau

Huu sio wakat wa Roman. Labda maamuzi yabadilike ghafla ila kwa sasa hakuna dalili ya Potter kuondoka
Mkuu siongelei kufungwa fainali naongelea mentality ya mpaka kufika hapo fainali. Sasa swali langu lilikua huyu Potter unavyoona kuna siku anaweza kuiongoza Chelsea na kuproduce tough game kama hizo za Fainali au na Madrid?.

Kweli gatuna la kufanya ila kutokua na la kufanya sio sababu tusizungumze mwenendo na kocha. Yan itatuchukua misimu miwili Potter kuipata ile timu ambayo wengi tuna itamani. Kwa sasa ni maumivu kwenda mbele
 
ila kwa upande mwingine kama uliangalia game yote jana, yatia moyo - pia majeruhi kama Mateo, Fofana na Zakaa wameanza mazoezi na timu.

skysports-chelsea-borussia-dortmund_6058981.png
Mnatakiwa kujua jana tumecheza na Dortmund mbovu msijipe faraja maana ingekuwa timu yoyote ya Epl iliyo top 4 ingeshinda si chini ya goli 2
 
Mnatakiwa kujua jana tumecheza na Dortmund mbovu msijipe faraja maana ingekuwa timu yoyote ya Epl iliyo top 4 ingeshinda si chini ya goli 2
Hakuna timu mbovu Ulaya inayoweza kufika level ya last 16 Champions League.
 
Mkuu siongelei kufungwa fainali naongelea mentality ya mpaka kufika hapo fainali. Sasa swali langu lilikua huyu Potter unavyoona kuna siku anaweza kuiongoza Chelsea na kuproduce tough game kama hizo za Fainali au na Madrid?.

Kweli gatuna la kufanya ila kutokua na la kufanya sio sababu tusizungumze mwenendo na kocha. Yan itatuchukua misimu miwili Potter kuipata ile timu ambayo wengi tuna itamani. Kwa sasa ni maumivu kwenda mbele
Maboss ndio wameamua,

Hiring Potter ilikuwa ni mistake toka mwanzo. Now hawatak kuamin kama ilikuwa ni mistake labda atuprove wrong.

Tunaweza kuwa na long term project ila short term result nazo zinahitajika.

Good manager siku zote huwa
Anahakikisha wachezaj wanaadapt mfumo wake katika kipindi kifupi.
Kuhakikisha wachezaji wanamaintain mfumo wake katika kipindi kirefu.


Kwa aina wachezaj tulionao Enrique ni chaguo bora kwa sasa..

Potter ni kama AVB
 
Chuck Norris anafanya maasimu watuzoee kizembe "I see some Chelsea fans complaining... Saying Potter isn't doing anything..

Come on, you guys, all those claps he's clapping on the sideline. Do you think it's easy"
 
Maboss ndio wameamua,

Hiring Potter ilikuwa ni mistake toka mwanzo. Now hawatak kuamin kama ilikuwa ni mistake labda atuprove wrong.

Tunaweza kuwa na long term project ila short term result nazo zinahitajika.

Good manager siku zote huwa
Anahakikisha wachezaj wanaadapt mfumo wake katika kipindi kifupi.
Kuhakikisha wachezaji wanamaintain mfumo wake katika kipindi kirefu.


Kwa aina wachezaj tulionao Enrique ni chaguo bora kwa sasa..

Potter ni kama AVB
Na wamempa mkataba mrefu wa pesa ndefu huyo kiazi aisee ,Bohley naye anakurupuka mno sometimes ,
Hivi mazee Potter wakimvunjia mkataba ,si itabidi alipwe pesa ndefu ?
 
Fvck long term project , tunahitaji makombe ,ushindi na heshima ya klabu , Chelsea ishakuwa kama Sunderland sasa hivi ,hii ni aibu .
Kwa wachezaji tulionao hakuna cha long term project ,hao wachezaji wengi tulionao kwa sasa wameshaprove huko walikotoka kwamba ni matured enough kuhimili mikiki mikiki ya mashindano sasa why hatufanyi vizuri ?,
Walete Enrique tuanze kunyanyua makombe kama Madrid na wengine , huu ujinga wa long term project peleka Kwa akina asenyeto na Barcelona huko

I'm so sick and tired of this nonesense

Madrid na bayern Munich hawanaga ujinga wa long term project ila wanakiwasha kila mwaka ,why ?
Potter out ,
 
Kwann unawaza kwamba angecheza foul.?
N kwann tumekariri mazingira kama yale ni lazima mtu acheze foul.?
Kwan mtu hawezi kucheza vzr na kuuchukua mpira.?
Yn kutoka katikati ya uwanja mpaka golini, mchezaji mwenye thamani kubwa kama Enzo anashindwa kujua mbinu ya kuuchukua mpira kwa njia salama.?
Tuache kukariri wakuu.
Mkuu alikuwa pekee yake pale nyuma ni dangerous kwanza angeweza kupata red card kinachonishangaza ni kwanini alikuwa pekee bila kuwa na msaidizi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom