Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,849
- 16,321
Nyie kenge mmesajili wachezaji wote, baada kuona wachezaji wameisha mkaamua mumsajili na mdogo wake Snoop Dogg Doggy.
Nyie kenge mmesajili wachezaji wote, baada kuona wachezaji wameisha mkaamua mumsajili na mdogo wake Snoop Dogg Doggy.
Mwamba fundi kiraka mtaalamu jini Mkata umeme mashine mzee wa kazi chafu KanteKante is comming back next week
![]()

Yupo njiani anatambulishwa soonHuyu dogo aje ,faster
Akija itakuwa hiviYupo njiani anatambulishwa soonView attachment 2517045
Simuoni akicheza no 10 namuona kwenye no 6, 8 na central back kwa jinsi nilivyomuona kwenye uchezaji wake ulivyoAkija itakuwa hivi
Line up 4-2-3-1
-------------- Datro Fofana --------------
Mudryk --------- Santos-------------Felix
--------Enzo ----------- Kante ----------
Chilwell ---Badiashile ---- Silva ---- James
------------------- Kepa -------------------
Line up 4-2-3-1
-------------- Datro Fofana --------------
Mudryk --------- Felix-------------Madueke
--------Enzo ----------- Santos ----------
Chilwell ---Badiashile ---- Silva ---- James
------------------- Kepa -------------------
Line up 4-2-3-1
----------- Joao Felix -----------
Mudryk ------- Santos------Madueke
-----Enzo --------- Kante --------
Chilwell--Badiashile--Silva--James
-------------- Kepa --------------
Number 10 iko wapi?Simuoni akicheza no 10 namuona kwenye no 6, 8 na central back kwa jinsi nilivyomuona kwenye uchezaji wake ulivyo
Yaan kikosi cha harry poter kisiwe na cucu au havertz. Sio kweli.Akija itakuwa hivi
Line up 4-2-3-1
-------------- Datro Fofana --------------
Mudryk --------- Santos-------------Felix
--------Enzo ----------- Kante ----------
Chilwell ---Badiashile ---- Silva ---- James
------------------- Kepa -------------------
Line up 4-2-3-1
-------------- Datro Fofana --------------
Mudryk --------- Felix-------------Madueke
--------Enzo ----------- Santos ----------
Chilwell ---Badiashile ---- Silva ---- James
------------------- Kepa -------------------
Line up 4-2-3-1
----------- Joao Felix -----------
Mudryk ------- Santos------Madueke
-----Enzo --------- Kante --------
Chilwell--Badiashile--Silva--James
-------------- Kepa --------------
🤣🤣🤣🤣🤣Yaan kikosi cha harry poter kisiwe na cucu au havertz. Sio kweli.
Pitia line up uliyowekaNumber 10 iko wapi?
Unaizungumziaje na hii team?Maombi mengi toka kwenu yanahitajika sana Ndugu zangu, tayari tumeshapoteza Dume lingine likiungana na punga lenzake lililojutangaza J3 wiki hii.
Mungu twakusihi utuokoe na hili pepo chafu la ushoga sisi na Watoto wetu, AminaView attachment 2516558View attachment 2516559View attachment 2516560
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Karibia page zote za timu za ulaya zimepost kumsapoti huyo firigisi.Unaizungumziaje na hii team?View attachment 2517215
Inabidi tuzoee tu ,kama macaptain ligi zote hapo ulaya wanavaa badge mara kibao tu za kusuport lgbtq community ,sioni cha ajabu hapo,Karibia page zote za timu za ulaya zimepost kumsapoti huyo firigisi.
Unatakiwa kwanza kwa upande wako ujue no. 10 ni nani ndipo ukoment kama Santos anaweza au hawezi kucheza no. 10. Santos anaweza kucheza nafasi zote za CM na Atacking midfielder ambayo no. 10 included inadepend na formation. Japo mara nyingi hasa hii micuano ya Brazili kacheza kama CM no. 6 na amekuwa dynamic zaidi kwenye formation ya 4-4-2 through out.Pitia line up uliyoweka
Mechi zote za makundi hatukufungwa tukiwa na Potter na timu mbovu ya akina Cheek, Chalobah, Azpilicueta, Koulibaly, Havertz, Auba, Cucu, Jorginho, Galagher, Mount, Pulisic na ushenzi woteIla mazee kesho tunatoboa kweli mbele ya vijana wa Dortmund ?
Tusijetia aibu aisee , semi sometimes spirit ya Uefa na kwenye ligi kwa Chelsea huwa inakuwa tofauti , unakuta timu inform mbovu kimoja kwenye ligi ila Uefa tubaubonda ,naomba kesho tuwe na hiyo spirit